Uchafu ni kipaji pia!

Uchafu ni kipaji pia!

Sidhani,ni maisha aliyo ya chagua awezi kuingilia,labda kipindi cha makonda ange kuwa Dar inge bidi aoge ili afike posta 🤣🤣
Na ni hapa hapa dar...
Kuna wadada ni wachafu aiseee yaani sijui majamaa wanao *** that person wanashindwa kumchana
 
Ooh karibu sana Dogo.
Ole wako sasa yatokee kama yule jamaa...
Et mnakubaliana inafika mda anasema mara yupo kimara.😂😂😂😂😂

Watu wanaogopa watu sijui daaha
 
Mara nyingi mtu mchafu hapendi kukosolewa na kuambiwa ukweli
Ila kuna kanjia ka unafiki unaweza mfikishia hata kwa utani sema huyu ni mtata an ukianzisha ligi wewe wewe mbona utakoma
 
Nimecheka hatarii, 😂😂😂😂
Yupo humu...
Comment zake unasema mtu wa maana ila kumbe mimavi tu ...

Watu wanajiogopa sana sijui majambazi kuku hawa 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 
Yupo humu...
Comment zake unasema mtu wa maana ila kumbe mimavi tu ...

Watu wanajiogopa sana sijui majambazi kuku hawa 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Kumbe ulipigwa na kitu kizito? Poleeee
😂😂😂😂😂
 
Kumbe ulipigwa na kitu kizito? Poleeee
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Ushamba tuu na kutojiamini..
NDo mana nasema humu wengi ni keyboard warrior na bado matapeli 😂😂😂😂
 
😂😂😂😂Ushamba tuu na kutojiamini..
NDo mana nasema humu wengi ni keyboard warrior na bado matapeli 😂😂😂😂
Hii ni JF, sio FB, insta, au Tsup.
Ko kumbe huwa huelewii tyuuh? Poleeer
😂😂😂😂
 
Hii ni JF, sio FB, insta, au Tsup.
Ko kumbe huwa huelewii tyuuh? Poleeer
😂😂😂😂
Daaah acha tu sasa kwanini watu wanakua hv na kila siku haya mambo tunayakemea humu ndani
 
secretarybird umesikia mpaka uchafu ni kipaji!
😀
Hahaha 😂😂😂🤣😂🤣.

Nimecheka na kufurahi. Nyerere miaka ya nyuma aliwahi kusema "uwongo ni kipaji kama ilivyo Urefu au ufupi". Basi watanzania wakaamini kuwa kweli Urefu na ufupi ni kipaji kisa kasema Nyerere 😂🤣😅.

#hakuna kipaji hapa duniani.

Cc implicit memory
 
Back
Top Bottom