Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,992
- 48,493
Haha hstutengani aisee sijui nimelogwa😃😃Wewe na mambo ya chakula... Sijui nani atawatenganisha
Haha hstutengani aisee sijui nimelogwa😃😃Wewe na mambo ya chakula... Sijui nani atawatenganisha
Malikia wa jukwaa la mapishi ..Haha hstutengani aisee sijui nimelogwa😃😃
Hiyo kali aisee😀Malikia wa jukwaa la mapishi ..
Nasubri siku uelekeze jinsi ya kutengeneza juisi ya nyanya chungu
Ila kumwambia mtu anaunuka mdomo ni kazi ngumu tena isiyo na mshahara😀.Wala sina hadufu mbaya hata yeye hana sema kuna kitu alikuwa sikumbuki ni nn ila kilinikera huwa unajisikiaje mtu anapokula mayai ya kumchemsha mfano
Kwangu mayai ya kuchemsha akila mwenzangu nayaona yana harufu mbaya sana sometimes najihis kutapika kabisa ila nikila mm aah naona kawaida tu 😀
Nikijutia mm hata nikisengenya na rafikzangu 😃😃huwa nawaza mwemyew akisikia atajisikaje hat km timeongea ukweli lkin naona ni vibaya nlijisikia vibaya sio siri 😀Ila kumwambia mtu anaunuka mdomo ni kazi ngumu tena isiyo na mshahara😀.
Unaweza ukajisikia vibaya kama mtu aliyefanya dhambi ya kuua.Nikijutia mm hata nikisengenya na rafikzangu 😃😃huwa nawaza mwemyew akisikia atajisikaje hat km timeongea ukweli lkin naona ni vibaya nlijisikia vibaya sio siri 😀