Uchafu ni kipaji pia!

Uchafu ni kipaji pia!

Wasalam wakuu..
Katika kipindi hiki cha mvua hapa dasalam na hata mikoa mingine tujitahidi kuwa wasafi.

Magonjwa ya milipuko kama kipindu pindu ndio yanaanziaga hapa.

Kwa wale wenzangu wa nyumba za kupanga uswazi na zenye mchanganyiko wa wa watumbali mbali tujitahidi kuhimizana kuhusu usafi.

Japo usafi na uchafu wa mtu ni kipaji ila tusichoke kukumbushana.

Kwa mwanaume uchafu is not big deal ila kwa mwanamke is too dangerous.

Niende direct sasa. Wakuu hivi unawezaje kumwambia mtu kuwa ni mchafu an unaanzaje. Unakuta ni mdada ila hana ile inaitwa personal hygiene kuanzia mazingira yake anayolala na yanayomzunguka..

Unawezaje kumwelekeza mdada kama huyu ambaye anategemea kuitwa mama watoto mda flani kuwa uchafu wako choma moto sio kuuweka unazagaa zagaa hovyo..

Wakuu unawezaje kumrekebisha mtu kama huyu ambaye kwake kuoga ni kipengele, ni wa kike ujue.

Mtu kama unamshauri vipi na unajua uki mface ni mziki mwingine. Sijaingilia life la mtu ila kuna kitu kinaitwa kero.

Kero kwa majirani na jamii inayomzunguka.....

Wazazi na walezi tujitahidi kuwalewa watoto wetu hasa wa kike katika mazingira ya kujitegemea hii ipo sana au baadhi kwa hawa wenzetu wenye uwezo. Unakuta mtoto anafikia teenage lakini mambo muhimu kuhusu personal hygiene hayajui... (Sijui shuleni wanalambaga kamasi mda wenzao wanasoma biology).

Just imagine mdada tena wa chuo degree tajer kabisa anatoka nje anaitwa pisi kali ila kwenye usafi ni shameless... Hii imekaaje mtu kama huyu una mshauri vipi wakuu....???
Kama haogi vyema, vipi kule kwa kipochi manyoya kutakuwaje?, harafu ndiyo anakuomba umulambe pussi lake sasa.
 
Kama haogi vyema, vipi kule kwa kipochi manyoya kutakuwaje?, harafu ndiyo anakuomba umulambe pussi lake sasa.
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌Sema watu wenye mawazo ya ngono utawajua tuu
 
Wapo sikatai na nishakutana baadhi ila wanaume wanaotumia IDs na avatar za kike ni wengi
Mi bado sijakutana nao wengi ..
Daah ila kuna mmoja aiseee alijua kunitukana yule jamaa nikachoka
 
Wasalam wakuu..
Katika kipindi hiki cha mvua hapa dasalam na hata mikoa mingine tujitahidi kuwa wasafi.

Magonjwa ya milipuko kama kipindu pindu ndio yanaanziaga hapa.

Kwa wale wenzangu wa nyumba za kupanga uswazi na zenye mchanganyiko wa wa watumbali mbali tujitahidi kuhimizana kuhusu usafi.

Japo usafi na uchafu wa mtu ni kipaji ila tusichoke kukumbushana.

Kwa mwanaume uchafu is not big deal ila kwa mwanamke is too dangerous.

Niende direct sasa. Wakuu hivi unawezaje kumwambia mtu kuwa ni mchafu an unaanzaje. Unakuta ni mdada ila hana ile inaitwa personal hygiene kuanzia mazingira yake anayolala na yanayomzunguka..

Unawezaje kumwelekeza mdada kama huyu ambaye anategemea kuitwa mama watoto mda flani kuwa uchafu wako choma moto sio kuuweka unazagaa zagaa hovyo..

Wakuu unawezaje kumrekebisha mtu kama huyu ambaye kwake kuoga ni kipengele, ni wa kike ujue.

Mtu kama unamshauri vipi na unajua uki mface ni mziki mwingine. Sijaingilia life la mtu ila kuna kitu kinaitwa kero.

Kero kwa majirani na jamii inayomzunguka.....

Wazazi na walezi tujitahidi kuwalewa watoto wetu hasa wa kike katika mazingira ya kujitegemea hii ipo sana au baadhi kwa hawa wenzetu wenye uwezo. Unakuta mtoto anafikia teenage lakini mambo muhimu kuhusu personal hygiene hayajui... (Sijui shuleni wanalambaga kamasi mda wenzao wanasoma biology).

Just imagine mdada tena wa chuo degree tajer kabisa anatoka nje anaitwa pisi kali ila kwenye usafi ni shameless... Hii imekaaje mtu kama huyu una mshauri vipi wakuu....???
Si kweli. Kama ni kipaji nenda kakiendeleze. Sijui ni chuo gani kinakuza kipaji hiki. Kawaulize nguruwe, chawa, na nune kama uchafu ni kipaji na si tabia na ujuhaa.
 
Huyo akizaa ukifika tu mlangoni unajulishwa na harufu ya mikojo kuwa kuna mtoto mdogo.
Mi nashangaa aisee ..
Akitoka njee sasa uwezi amini kama ndo hyu na masela wananhuruma sana unakuta kuna wana wana jilia an no stress
 
Si kweli. Kama ni kipaji nenda kakiendeleze. Sijui ni chuo gani kinakuza kipaji hiki. Kawaulize nguruwe, chawa, na nune kama uchafu ni kipaji na si tabia na ujuhaa.
Mkuu tabia mbona inabadilika baada ya kuona external factors..

Kipaji ni kitu internal hata iweje kile kitu haachi aisee
 
Wasalam wakuu..
Katika kipindi hiki cha mvua hapa dasalam na hata mikoa mingine tujitahidi kuwa wasafi.

Magonjwa ya milipuko kama kipindu pindu ndio yanaanziaga hapa.

Kwa wale wenzangu wa nyumba za kupanga uswazi na zenye mchanganyiko wa wa watumbali mbali tujitahidi kuhimizana kuhusu usafi.

Japo usafi na uchafu wa mtu ni kipaji ila tusichoke kukumbushana.

Kwa mwanaume uchafu is not big deal ila kwa mwanamke is too dangerous.

Niende direct sasa. Wakuu hivi unawezaje kumwambia mtu kuwa ni mchafu an unaanzaje. Unakuta ni mdada ila hana ile inaitwa personal hygiene kuanzia mazingira yake anayolala na yanayomzunguka..

Unawezaje kumwelekeza mdada kama huyu ambaye anategemea kuitwa mama watoto mda flani kuwa uchafu wako choma moto sio kuuweka unazagaa zagaa hovyo..

Wakuu unawezaje kumrekebisha mtu kama huyu ambaye kwake kuoga ni kipengele, ni wa kike ujue.

Mtu kama unamshauri vipi na unajua uki mface ni mziki mwingine. Sijaingilia life la mtu ila kuna kitu kinaitwa kero.

Kero kwa majirani na jamii inayomzunguka.....

Wazazi na walezi tujitahidi kuwalewa watoto wetu hasa wa kike katika mazingira ya kujitegemea hii ipo sana au baadhi kwa hawa wenzetu wenye uwezo. Unakuta mtoto anafikia teenage lakini mambo muhimu kuhusu personal hygiene hayajui... (Sijui shuleni wanalambaga kamasi mda wenzao wanasoma biology).

Just imagine mdada tena wa chuo degree tajer kabisa anatoka nje anaitwa pisi kali ila kwenye usafi ni shameless... Hii imekaaje mtu kama huyu una mshauri vipi wakuu....???
Mkuu 'title' yoyote mbaya anayoifanya mtu na kustahili kuitwa nayo, mfano: mchafu, mwizi, malaya, muongo mchawi nk huwa hawapendi kuitwa hivyo ama kuelezwa kwa ushauri wa kujirekebisha ili kuziacha tabia hizo.

Cha msingi kama ni pangoni na mpo wapangaji wengi basi pigania kutengeneza uongozi wa aina mbili hapo magettoni, Patron na matron ili kero yoyote ipitishwe kwa viongozi hao kuliko kukabiliana na mchafu kavukavu ili kupunguza mizozo isiyokuwa na ulazima.
 
Back
Top Bottom