Uchafu ni kipaji pia!

Uchafu ni kipaji pia!

mm nilimwambia mwenzangu ana harufu mbaya mdomoni na haikuwa kawaida yake sijui alikula nn niliropoka aisee hajawah sahau had tukaachana
Hahaha 😂😅, unaweza kukuta wewe huwa una harufu mbaya mdomoni lakini alikuwa anakuvumilia ndo maana wewe ulipomwambia alikushangaa.
 
Hivi ushawahi kuwa mwanamke msafi unaweza mjua kupitia miguu yake. Ukikuta mwanamke mchafu miguu jua uwezekano wa kuwa na tabia ya uchafu ni zaidi ya 60%.

We fanya utafiti tu utagundua
 
Hivi ushawahi kuwa mwanamke msafi unaweza mjua kupitia miguu yake. Ukikuta mwanamke mchafu miguu jua uwezekano wa kuwa na tabia ya uchafu ni zaidi ya 60%.

We fanya utafiti tu utagundua
Ebu elekeza hii mkuu
 
Ebu elekeza hii mkuu
kesho fanya kuwaangalia wanawake tofauti tofauti miguu yao alafu uwaangalie hali na tabia zao za usafi utagundua kitu Mkuu.

Mwanamke mwenye tabia ya usafi huwezi mkuta na miguu michafu, hiyo ni never!. Na haimaanishi kwamba hawachafuki ila ni hautamkuta na miguu michafu.

Ni sawa na umkute binti na kucha chafu, then utegemee awe na tabia ya usafi. Same kwa mwanaume. Mwanaume asiyekata kucha asilimia kubwa ni mchafu/ana tabia ya uchafu.
 
kesho fanya kuwaangalia wanawake tofauti tofauti miguu yao alafu uwaangalie hali na tabia zao za usafi utagundua kitu Mkuu.

Mwanamke mwenye tabia ya usafi huwezi mkuta na miguu michafu, hiyo ni never!. Na haimaanishi kwamba hawachafuki ila ni hautamkuta na miguu michafu.

Ni sawa na umkute binti na kucha chafu, then utegemee awe na tabia ya usafi. Same kwa mwanaume. Mwanaume asiyekata kucha asilimia kubwa ni mchafu/ana tabia ya uchafu.
Duuuh hi ni topic mpya mkuu...
Ngoja nianze kazi hapa hapa naanza kukagua watu miguu aiseee...

Daaah hi ya leo kali aiseeee
 
Hahaha 😂😅, unaweza kukuta wewe huwa una harufu mbaya mdomoni lakini alikuwa anakuvumilia ndo maana wewe ulipomwambia alikushangaa.
Wala sina hadufu mbaya hata yeye hana sema kuna kitu alikuwa sikumbuki ni nn ila kilinikera huwa unajisikiaje mtu anapokula mayai ya kumchemsha mfano
Kwangu mayai ya kuchemsha akila mwenzangu nayaona yana harufu mbaya sana sometimes najihis kutapika kabisa ila nikila mm aah naona kawaida tu 😀
 
Wala sina hadufu mbaya hata yeye hana sema kuna kitu alikuwa sikumbuki ni nn ila kilinikera huwa unajisikiaje mtu anapokula mayai ya kumchemsha mfano
Kwangu mayai ya kuchemsha akila mwenzangu nayaona yana harufu mbaya sana sometimes najihis kutapika kabisa ila nikila mm aah naona kawaida tu 😀
Wewe na mambo ya chakula... Sijui nani atawatenganisha
 
Back
Top Bottom