Uchafu ni kipaji pia!

Uchafu ni kipaji pia!

Kuna mikoa, uchafu ni naturally born

Mara na Kigoma sijawai kutana na mwanamke yyt anayejipenda juu Hadi chini akitokea mikoa hiyo.

Wengi wapo wapo TU ili mradi siku niende
 
Kuna wanaotupa pedi zilizotumika chini ya kitanda, like daaah!! Mdada mrembo kabisa anasokomeza pedi chini ya kitanda? Inasikitisha sana.
Mi mdada kama huyo naweza kumpiga fimbo kabisa mkuu
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Wewe na Poor Brain mnaharibu aisee, si wote tuna ma Alphard humu na ma Benz?
😂😂😂😂 Weww sasa
Mkuu 'title' yoyote mbaya anayoifanya mtu na kustahili kuitwa nayo, mfano: mchafu, mwizi, malaya, muongo mchawi nk huwa hawapendi kuitwa hivyo ama kuelezwa kwa ushauri wa kujirekebisha ili kuziacha tabia hizo.

Cha msingi kama ni pangoni na mpo wapangaji wengi basi pigania kutengeneza uongozi wa aina mbili hapo magettoni, Patron na matron ili kero yoyote ipitishwe kwa viongozi hao kuliko kukabiliana na mchafu kavukavu ili kupunguza mizozo isiyokuwa na ulazima.
Duuuh mkuu hapo kwenye kutengeneza uongozi daaah...

Assume huyu mtu ndo tumemkuta hapa an maana wapangaji wengi tuliowakuta washaham kabaki yeye na akili yake mbovu mbovu mda wote snap tuu kuoga aaaah
 
😂😂😂😂 Weww sasa

Duuuh mkuu hapo kwenye kutengeneza uongozi daaah...

Assume huyu mtu ndo tumemkuta hapa an maana wapangaji wengi tuliowakuta washaham kabaki yeye na akili yake mbovu mbovu mda wote snap tuu kuoga aaaah
Sasa unamchana au unafanyaje kukabiliana na hiyo kero?
 
Kwanini wadada pekee na sio wakaka pia? Hivi uchafu ni kwa jinsia 1 pekee au zote?

Hakuna Uhalali wa uchafu kwa mwanaume, acha kujilisha upepo, muhimu ni kuwa watu wote wanatakiwa kuwa wasafi na watanashati.

Hujambo lakini? 😂😂😂😂
Hapana kwa mwanamke inatishia amani mama yeye ndo anatangeneza jamii kwa ujumla..

Nimekumiss sana sis weekend hii nakuja
 
IMG_5329.jpeg
 
Back
Top Bottom