Kumezuka tabia ya wananchi kutupa taka mahali popote (mfano kando ya barabara) na tunaona ni jambo la kawaida. Hakuna anayejali kwani tunachukulia kuwa si jukumu letu. Nani alaumiwe na kitu gani kifanyike kuondoa kadhia hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.