Mbona Naibu Waziri wa Nishati na Madini ni Mhe. George Simbachawene.
Mpita Njia
keshanijibu. Aliyeanzisha thread angeandika Naibu Waziri wa Nishati
na Madini anayeshughulikia Masuala ya Madini, Mhe. Stephen
Maselle.
Mwisho hizo simu umeziweka za nini? Huko ni kwenda kinyume cha "right to privacy"!.
Mkuu Slobodan Milosovic, kwanza karibu jamvini, maana naona ndio kwanza umejiunga le. Pili asante kwa taarifa muhimu na nyeti kama hizi na mwisho hizo simu umeziweka za nini?!, huko ni kwenda kinyume cha "right to privacy"!.
Mkuu Gagnija, JF as a reputable social media outlet, has an obligation to respect "the right to privacy" za watu, mobile number is among the privacy za watu, hivyo kuijua mobile number ya mtu, haikupi right ya kuiexpose hiyo number in public bila ridhaa ya mwenye number, this is a violation of "the right to privacy".Mkuu Pasco, privacy iko kwa maswala binafsi ya kina Masele. Hakuwezi kuwa na privacy kwenye dhahabu yetu. Haya ndiyo yalifanya kina Karamagi wanasaini mikataba mahotelini na wabunge wanaambiwa hizo ni siri za serikali hivyo hawaruhusiwi kuziona.
Mbona Naibu Waziri wa Nishati na Madini ni Mhe. George Simbachawene.
Mkuu Manyi, tasnia ya habari, nayo inayo miongozo na miiko yake iitwayo "media ethics". Miongoni mwa ethics ni hili la "the right to privacy".Mkuu, Which Right to privacy??? Kwa hiyo waliokuwa wanaandika habari za uchunguzi kama Mwanahalisi huwa wanakosea?
Hatuwezi kusita kufichua maovu kisa tunaingilia Privacy za watu. Kumbuka hata Zakia Meghji alivyokuwa anakataa kutoa taarifa za BoT kuhusu wizi wa EPA kwa kisingizio taarifa zinahusu Idara ya Usalama wa Taifa!
TUMBIRI (PhD, University of HULL - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
Tuache unafiki kwani katibu mkuu wa nishati na madini alipovunja sheria ya manunuzi ya umma alipongezwa kwa kigezo cha kusaidia taifa na huyu kama kafichua ufisadi kwa lengo la kusaidia taifa kwanini asiungwe mkono?Mkuu Gagnija, JF as a reputable social media outlet, has an obligation to respect "the right to privacy" za watu, mobile number is among the privacy za watu, hivyo kuijua mobile number ya mtu, haikupi right ya kuiexpose hiyo number in public bila ridhaa ya mwenye number, this is a violation of "the right to privacy".
Najua modes hawawezi kufuatilia kila kitu, ila sisi wanachama watiifu wa jf, pale tunapoona tunakwenda over and above, tunasaidiana kushtuana ili turejee kwenye mstari.
Mkuu Tumbiri, unaweza kufichua maovu, bila kukiuka "the right to privacy".
hivii how development can to be brought brother when the people to whom we have entrasted power are corrupt? chukua hatuaaaa
Mkuu Tumbiri, mwanzo nilipokuona unasomea Ph.D hapo Hull nikadhani kila Ph.D in kusomea udaktari wa falsafa, nikidhania kila falsafa inahusisha kutumia ubongo kufikiri, ndio maana kule nyuma niliwahi kukuuliza unasomea Ph.D ya nini?, uliponijibu nilielewa!.Vitu vingine vinahitaji just a comon sense reasoning, wala huhitaji hata kuwa msomi kuvibaini!. Fixed telephone lines, box office number, hse number, office number, street number, ni public domain information ambazo ziko access to public, mobile number ni personal, wengine wanaita "private number" hutolewa kwa idhini ya mwenye number!.Mfano mimi nazijua mobile za JK, Pinda, Othman, Mwamunyage, Mwema etc, by nature ya kazi yangu as a journalist. Hata ukiniuliza kuwa unaomba mobile ya JK, siwezi kukupa, sasa sana labda nimwambie fulani anashida naye na anaomba mobile number yake, only at his discretion, ndipo nitakupa!.Ukienda vituo vyote vya polisi pale mapokezi, utakuta official mobile number za wakuu wote, kuanzia IGP, RPC, OCD etc zimewekwa public, hizo ni public domain mobile, lakini wote hao wanazo private mobile number zao ambao hazipo pale ila watu wanazo, hizo ndizo hizo "right to privacy".Kwenye uandishi wa habari, kuna kitu kinaitwa "the confidentiality of the source", ukinipa taarifa nyeti za siri, mimi kama mwandishi ninawajibika kuhifadhi identity yako na hata ikibidi mimi kushikitakiwa kwa "possession of confidential information", nitakwenda jela bila kukutaja!. Baadhi ya waandishi wa gazeti la Mwanahalisi, wanaandikia masifa zaidi kuliko kufuata weledi, vivyo hivyo baadhi yetu hutumia masifa kuposti humu "private information za watu" kwa masifa tuu bila kufuata "the right the privacy", for jf survival a sustainibility for the future, this must stop sooner or later, vinginevyo jf tutageuka kijiwe cha kahawa kwa hoja za furahisha genge!.Mkuu Pasco hivi nikitaja namba yako ya simu kwamba ni 0713XXXXXX na 0754YYYYYY hapa JF ntakuwa nimekudhuru nini in terms of Privacy? Hivi unajua kwamba kipindi kile tuna TTCL kama kampuni pekee ya simu nchini namba za watu zilikuwa zinachapishwa kwenye kile kitabu kikubwa maarufu kama 'Yellow page'? Na unakumbuka kile kitabu kilikuwa open kwa mtu yeyote? Kwa hiyo unataka kusema kwamba TTCL nayo ilikuwa inaingilia privacy za watu na mashirika mbalimbali?Sasa mtoa taarifa kaandika namba za simu za huyo Waziri, Mkuu wa Wilaya na Afisa Usalama wa Wilaya kuna ubaya gani? Namba za simu siyo Privacy. Privacy ni Information ndani ya simu zinazohusu mapenzi yako na Mkeo, Hawala, Familia, Marafiki nk. Kama unatumia simu yako kuhujumu Taifa information hizo haziwezi kuwa Privacy. Kufanya hivyo ni kuhalalisha wizi usifichuliwe kwa sababu umehusisha simu ya mtu! TUMBIRI (PhD, University of HULL - United Kingdom), tumbiri@jamiiforums.com
Impliedly, you applaud the govt's move to ban Mawanahalisi. Do you?Mkuu Gagnija, JF as a reputable social media outlet, has an obligation to respect "the right to privacy" za watu, mobile number is among the privacy za watu, hivyo kuijua mobile number ya mtu, haikupi right ya kuiexpose hiyo number in public bila ridhaa ya mwenye number, this is a violation of "the right to privacy".
Najua modes hawawezi kufuatilia kila kitu, ila sisi wanachama watiifu wa jf, pale tunapoona tunakwenda over and above, tunasaidiana kushtuana ili turejee kwenye mstari.