FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,799
- 46,917
- Thread starter
- #121
Wamefanya kubana matumizi kama walivyofanya mabadiliko pale Tazara, yote hiyo ni ufinyu wa bajeti, ila madhara yake tunaona mateso yanaendelea pale Tazara kwa watokao Buguruni na bandarininachoona pale ni madaraja mawili yaliopishana tu,ile raman ya interchange na kinachoendelea ni tofaut kabisa
Wacha bwanaHapo mtasema 2020 itakuwa inakaribia kuisha wakati hata ndoto hakuna!
Ulitakaje labda, duniani kote fly over zinajengwa hivyo jaribu kusafiri jamaa yangu siyo kushinda mitandaoni kupinga na kishabikia siasa. Jitahidi kuboresha upeo wako, pale hakutakuwa na foleni tena.nachoona pale ni madaraja mawili yaliopishana tu,ile raman ya interchange na kinachoendelea ni tofaut kabisa
Dah.... kihisabati...ukitilia maanani muda wa huduma....kiasi cha huduma...kasi ya huduma...nina wasiwasi...tutegemee foleni yenye msongamano mkubwa...kuanzia Magomeni hadi katikati ya jiji kwa wanaingia mjini... Buguruni kwa wanaoenda bandarini...Mwenge kwa wanaovuka makutano...[emoji41]
Dunia ya wapi? Chato au?Ulitakaje labda, duniani kote fly over zinajengwa hivyo jaribu kusafiri jamaa yangu siyo kushinda mitandaoni kupinga na kishabikia siasa. Jitahidi kuboresha upeo wako, pale hakutakuwa na foleni tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lets be optimisticDah.... kihisabati...ukitilia maanani muda wa huduma....kiasi cha huduma...kasi ya huduma...nina wasiwasi...tutegemee foleni yenye msongamano mkubwa...kuanzia Magomeni hadi katikati ya jiji kwa wanaingia mjini... Buguruni kwa wanaoenda bandarini...Mwenge kwa wanaovuka makutano...[emoji41]
Sent using Beretta ARX160
Dah...how?... Sijasema kuwa ni mradi mbaya...ila ni mradi usio mzuri sana....kwa akili ya kawaida... ukiweka hisabati pembeni...ukiwa unapanua mtaro unaoleta mafuriko..utaanzia mwisho wa mtaro kwa ajili ya usalama....kama ukianzia mwanzoni mwa mtaro lazima utawapelekea mafuriko walio mwisho wa mtaro...Lets be optimistic
Kama hiyo flyover ikikamilika kabla sijafa naenda kuishi Somalia.
Unasahau kwamba kuna feeder roads katikati ambazo zinaondoa magari, sio yote yanayovuka kivuka yanaenda hadi mwisho, mengine yanachipukia katikati. Mfano magari yanayovuka tokea Kimara mengine yanaanza kuchepukia shekilango, then Manzese and so on, na yanayotokea mjini kuvuka daraja yapo yanayochepukia njia feeders za katikati ya Ubungo na kimara, pia barabara imetanuliwa njia nane baada ya KimaraDah...how?... Sijasema kuwa ni mradi mbaya...ila ni mradi usio mzuri sana....kwa akili ya kawaida... ukiweka hisabati pembeni...ukiwa unapanua mtaro unaoleta mafuriko..utaanzia mwisho wa mtaro kwa ajili ya usalama....kama ukianzia mwanzoni mwa mtaro lazima utawapelekea mafuriko walio mwisho wa mtaro...
Kama tungeanza kwa kuboresha maegesho...barabara nyingi za oneway...vivuko salama vya watembea kwa miguu...nk labda haya maflyover yangekuwa na maana zaidi....bila ya hivyo tutegemee kumsafirisha mtu kutoka Kimara hadi Magomeni kwa dakika 15...Kisha Magomeni hadi katikati ya jiji kwa masaa 2[emoji41]
Sent using Beretta ARX160
Tatizo hakuna unachokijua nakusamehe bure.Dunia ya wapi? Chato au?
Nimesafiri sana ulaya na marekani Ila hakuna hata sehemu moja niliwahi kukuta flyover imechanganya na mataa.My best two interchange moja ipo Wisconsin na nyingine ipo AmsterdamTatizo hakuna unachokijua nakusamehe bure.
Flyover zipo za aina nyingiNimesafiri sana ulaya na marekani Ila hakuna hata sehemu moja niliwahi kukuta flyover imechanganya na mataa.My best two interchange moja ipo Wisconsin na nyingine ipo Amsterdam
Angalau wewe unajua unachokiandika si Kama huyo mwendawazimu niliyemkopiFlyover zipo za aina nyingi