FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,799
- 46,917
- Thread starter
- #81
Ni kiwanda cha kuzalisha fly-overHivi nacho ni kiwanda?niambieni nijue kwani kauli ni Tz ya viwanda,faster niandike Application. Msinibanie,msinibanie.
Ni kiwanda cha kuzalisha fly-overHivi nacho ni kiwanda?niambieni nijue kwani kauli ni Tz ya viwanda,faster niandike Application. Msinibanie,msinibanie.
Waliobomolewa ni Tanesco na maji, au kuna mwingine kwenye huu mradi?mfadhili, fidia waliobomolewa kwanza kwa anataka kulipwa
Nadhani wanaanza kujenga barabara za pembeni, kazi kubwa ilikuwa kutengeneza miundombinu ya umeme(underground), maji machafu na masafi pamoja na simu.Kwa mliopita hapo hivi karibuni, ujenzi umefikia wapi?
Ujenzi unaendelea nmepita muda si mrefuKwa mliopita hapo hivi karibuni, ujenzi umefikia wapi?
hahaaaInakuwaje unajaza server kwa mapicha na habari za uongo na ukijua ni uongo hiyo kitu kutokea bongo lazima ccm iwe imezikwa na hata kumbukumbu zisiwepo
Will do that, ila ninashauku ya kuona walau nondo mbili tatu zinasukwa, then nitaamini ujenzi umeanza rasmi, so far naona wanapiga porojo tu pale, i need to see the columns coming up, waache utani, time is money!Nadhani wanaanza kujenga barabara za pembeni, kazi kubwa ilikuwa kutengeneza miundombinu ya umeme(underground), maji machafu na masafi pamoja na simu.
Baada ya hapo naamini kinachoendelea sasa ni ujenzi.
Kiongozi FRANCIS DA DON upite njia ya Morogoro uone jinsi upanuzi wa Morogoro road ulivyo, pia pale Mbezi kuna project moja nzuri inaendelea.
Rais Magufuli ameuiga huu msemo wako leo kwenye hotuba yake ya kufungua Mfugale flyover, bila shaka alisoma hapaHapo ikikamilika kama mgeni utajikuta umetokea Mwenge wakati ulikuwa unaenda Mapipa
wewe ndiyo magu?Hapo ikikamilika kama mgeni utajikuta umetokea Mwenge wakati ulikuwa unaenda Mapipa
Jiandae kukutana na Alshabab mzee, chunga mdomo wakoKama hiyo flyover ikikamilika kabla sijafa naenda kuishi Somalia.
Au Nyadikwa ndio Magufuli nini?wewe ndiyo magu?
au magu huwa anasoma comment???
maana Leo karudia hiyo kauli yako hivyo hivyo.
Ukiona nondo zinasukwa ujuwe its about 45-50% of the total work. Kinachofanyika sasa hivi ndio kigumu zaidi, trust me!!!Will do that, ila ninashauku ya kuona walau nondo mbili tatu zinasukwa, then nitaamini ujenzi umeanza rasmi, so far naona wanapiga porojo tu pale, i need to see the columns coming up, waache utani, time is money!
Nimesema flyover lile ni darajaJiandae kukutana na Alshabab mzee, chunga mdomo wako
kwa kweli MKUU huyu anapaswa kuchungulzwq kwa umakiniAu Nyadikwa ndio Magufuli nini?
Lazima hon. Magu sazingine hupitia na kubarizi humu!wewe ndiyo magu?
au magu huwa anasoma comment???
maana Leo karudia hiyo kauli yako hivyo hivyo.
Basi bila shaka nimesaidi kupush ujenzi wa ubungo flyoverLazima hon. Magu sazingine hupitia na kubarizi humu!
Usishangae, maana hii ni forum mkuu.
Wachina wanajenga kwa kasi sanaUkiona nondo zinasukwa ujuwe its about 45-50% of the total work. Kinachofanyika sasa hivi ndio kigumu zaidi, trust me!!!
Nitapita hapo niwawekee pichaKwa mliopita hapo hivi karibuni, ujenzi umefikia wapi?