Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 4,046
- 3,049
Kabla JPM hajamaliza miaka yake, tyr itakuwa
"Mchakato umeisha,tupo kwenye mazungumzo na wafadhili"Tupo kwenye mchakato wa upembuzi yakinifu
hakuna cha utafit wala nini kinachohitajika hapo ni hela tuuu!Sio kazi rahisi, inahitaji utafiti yakinifu kuweza kutengeneza na ukizingatia sehemu yenyewe ina majengo kama tanesco, plaza
No, they are indeed architectural impressionsMbona zinaonekana kama picha halisi zilizopigwa mji mwingine na sio plan za kisanifu..
Basi kuna video yake ukiiona hio ndio balaa! Sijui nani katengeneza hizo video.No, they are indeed architectural impressions
Zinatia mshawasha wa kuona mradi ukitekelezwa.., i am so eager..!Basi kuna video yake ukiiona hio ndio balaa! Sijui nani katengeneza hizo video.
Hii ni Ubungo, sio Tazara="TODAYS, post: 15243172, member: 224207"]Hizo tunazotarajia kujengwa hapa bongo siyo kama hizo picha ulizoleta FRANCIS DA DON nenda pale tazara uone zinazopaswa kujengwa hapa bongo.
PoaIt seems wee mleta mada MSHAMBA NA KILAZA sana... hujui hata kidogo tu NCHI NYINGINE KUNA NN... hata jicho la kawaida kama unalo huoni... maana Akili yako haioni pia...!!
So, be in total darkess to hell