Ubungo flyover ni mwisho wa matatizo

Ubungo flyover ni mwisho wa matatizo

kwakweli nakumbuka mwaka 2015 tulikuwa na tatizo kubwa la foleni maeneo ya ubungo/kimara/mbezi lkn kwa sasa watu wanateleza tu.
Hongera sana serikali chini ya Mh. Magufuli kwa kazi nzuri ndani ya kipindi cha miaka 5.
Hakuna ubishi lazima tutakuchagua tena umalizie miaka yako 5 iliyo baki.
Mungu akubariki sana.
 
kwakweli nakumbuka mwaka 2015 tulikuwa na tatizo kubwa la foleni maeneo ya ubungo/kimara/mbezi lkn kwa sasa watu wanateleza tu.
Hongera sana serikali chini ya Mh. Magufuli kwa kazi nzuri ndani ya kipindi cha miaka 5.
Hakuna ubishi lazima tutakuchagua tena umalizie miaka yako 5 iliyo baki.
Mungu akubariki sana.
Kwa hili, itabidi tu nimpigie kura, japo sikuwa na mpango hata wa kupiga kura, ila kwa hili moyo utanisuta, kwanini nisimpigie kura???!!!
 
Hili wazo alipokua waziri wa miundo mbinu awamu ya mzee wa msoga nakumbuka alisema (bungeni) project ya fly over tazara na ubungo inakwamishwa na baadhi ya wakubwa! Alivyoshika yeye akawadandia kichwa fasta[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Watanzania hebu punguzeni ushamba ujinga tunachekwaaa haya mambo ya kawaida
 
Ila huyu mzee alikuwa ni Rais na nusu.

Waliposema haiwezekani m, yeye alikuwa busy kuhakikisha inawezekana.

Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani mbinguni.
 
Back
Top Bottom