Nrangoo
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 3,422
- 5,480
.Leo limeanza kutumika kwa wanaotoka kimara
.Leo limeanza kutumika kwa wanaotoka kimara
Uende ukaishi Somalia sasaKama hiyo flyover ikikamilika kabla sijafa naenda kuishi Somalia.
Hiyo itangoja ya Mbezi mwishoTunasubiri nyingine Uhasibu na Chang'ombe
Pole....zimeanza kujengwa miezi sita iliopita.Hiyo itangoja ya Mbezi mwisho
Tayali mkuuKama hiyo flyover ikikamilika kabla sijafa naenda kuishi Somalia.
Duh sikujua kama zilianza kujengwa....Pole....zimeanza kujengwa miezi sita iliopita.
Uende ukaishi Somalia sasa
Aibu yakoHadi mwaka 2099 unawezakuwa umekamilika!
Kabisa, tunasubiri na hapo, maana hali huwa mbaya sanaTunasubiri nyingine Uhasibu na Chang'ombe
Tanzania kumenoga, .... ....Pole....zimeanza kujengwa miezi sita iliopita.
Haijazikwa na imetokeaInakuwaje unajaza server kwa mapicha na habari za uongo na ukijua ni uongo hiyo kitu kutokea bongo lazima ccm iwe imezikwa na hata kumbukumbu zisiwepo
HilooooHapo mtasema 2020 itakuwa inakaribia kuisha wakati hata ndoto hakuna!
Hivi kumbe ujenzi wake umeshaanza, aiseee..., i am so eager!!!!!!Pole....zimeanza kujengwa miezi sita iliopita.
Zamani sanaHivi kumbe ujenzi wake umeshaanza, aiseee..., i am so eager!!!!!!
Kama hiyo flyover ikikamilika kabla sijafa naenda kuishi Somalia.