UBUNGO, DAR: Machinga wapewa siku 3 waondoke

UBUNGO, DAR: Machinga wapewa siku 3 waondoke

Umekula, Umeshiba. Bonga uwezavyo!

Ndugu yangu mbona una-ni attack? Usimjibu hovyo mtu usiyemjua. Humu tunajuana virtually. Changamoto nilizozipitia kupata nilichonacho huzijui. na mimi zako sizijui. Sasa kuniambia eti nimeshiba..it is sarcastic! Hata kama mtu hukubaliani naye au unaona hoja yake haina nguvu....usimjibu. Ukiamua kumjibu fanya hivyo kwa busara. It costs you nothing.

An eye for an eye...will make the world blind.
 
Subiri wanakuja. waTanzania sisi ni wavivu wa kufikiri. It is a shame kwamba mpaka leo kuna mtu anaweza akasimama kabisa akasema eti Machinga wanaonewa.....simply kwa sababu wameondolewa barabarani! Karne hii kweli unaweza kumtetea mtu afanye biashara barabarani?
Unajua nia ya baadhi ya watu ni kuona serikali inashindwa kwa kila jambo ili wananchi waone ccm haifai bali chadema ndio inafaa lakini kwa maoni yangu mimi hata kama ccm haifai kama wao wanavyotaka kutuaminisha ni bora kitafutwe chama kingine cha siasa na si hilo kundi la wahuni,chama kikuu cha upinzani kwa miaka zaidi ya ishirini mna ruzuku kubwa tu mnashindwa kujenga hata chumba kimoja cha ofisi??alafu wafuasi wao hata hawawezi kuona hilo hata kidogo kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu mbona una-ni attack? Usimjibu hovyo mtu usiyemjua. Humu tunajuana virtually. Changamoto nilizozipitia kupata nilichonacho huzijui. na mimi zako sizijui. Sasa kuniambia eti nimeshiba..it is sarcastic! Hata kama mtu hukubaliani naye au unaona hoja yake haina nguvu....usimjibu. Ukiamua kumjibu fanya hivyo kwa busara. It costs you nothing.

An eye for an eye...will make the world blind.
Sijakujibu. Nimejibu andiko lako. Anyway don't take personal
 
Sasa hapo zogo litakalozuliwa na hao wamachinga sio dogo!

Kimsingi serikali nadhani ndo inasababisha migogoro at times ! Sehem ambazo hasira kiwi kufanyiwa activity yoyote on sympathy basis. Hivyo watu wanazoea na kudhani maeneo maeneo hayo wanayatumia kihalali. Inapokuja muda wanahitajika kupisha eneo hilo ndo tafrani inaanzia hapo!

It's sad coz kuna wafanya biashara zaidi ya 100 wanaoendesha familia zako kwa kutegemea eneo lile la ubungo
 
Walishapewa taarifa mapema kuhama sehemu hiyo kilichofanyika Leo ni Meya kwenda kufanya ustaarabu kuwakumbusha jukumu lao la kuhama kabla ya kuondolewa kwa nguvu.....

Hakuna mtu anayeonewa kwenye sakata la hapo ubungo maana toka mwaka Jana taarifa za ujenzi huo walikua nayo...
Kama taarifa wanazo haina budi wapishe mradi ufanyike.
 
kwahiyo serikali isijenge flyover ili kuwalinda wamachinga,zunguka dunia nzima huiwezikupata nchi ya hovyo kama hiyo
 
na ni mjinga tu mtu anayefikiria kuwa mpaka wale machinga wanaanzisha biashara pale still jiji lilikuwa limelala,wakati sharia zake zikivunjwa.
na mjinga tu anxyefikiri kuwa sasa hawatakiwi kubughudhiwa forever ama wapewe mbadala na waridhie
 
Ndugu yangu mbona una-ni attack? Usimjibu hovyo mtu usiyemjua. Humu tunajuana virtually. Changamoto nilizozipitia kupata nilichonacho huzijui. na mimi zako sizijui. Sasa kuniambia eti nimeshiba..it is sarcastic! Hata kama mtu hukubaliani naye au unaona hoja yake haina nguvu....usimjibu. Ukiamua kumjibu fanya hivyo kwa busara. It costs you nothing.

An eye for an eye...will make the world blind.
well said muungwana watu wengine humu wamekuwa kama wametumwa kupinga tuuuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona wenzao walishaenda mawasiliano tangu mwaka jana jamani kuna vitu vya kulaumiana hivi kila mtu akiruhusiwa kupanga nguo kila sehemu si itakuwa shida vpi hiyo flyover itajengwaje bila hao kuondoka.,
 
Bila kuwaondoa hapo ujenzi wa flyover utawezekana vipi?
Tumezidi kulialia ndugu yangu. Its too much sasa. Ni kweli wanapatia riziki pale lakini mradi ni muhimu zaidi. Hao wamachinga waelewe tu hilo na watafute namna nyingine.
 
Back
Top Bottom