UBUNGO, DAR: Machinga wapewa siku 3 waondoke

UBUNGO, DAR: Machinga wapewa siku 3 waondoke

Daslama mjiandae kwa wizi na roba za mbao/misumari
Na wao wajiandae kwa kichapo maana mimi najua kipindi hiki huwa wezi wanaongezeka hapa ndio namalizia mafunzo ya karate mkanda mweusi ili nianze balaa

SONY Xperia Z5 Premium
 
Na wao wajiandae kwa kichapo maana mimi najua kipindi hiki huwa wezi wanaongezeka hapa ndio namalizia mafunzo ya karate mkanda mweusi ili nianze balaa

SONY Xperia Z5 Premium
Sawa Mkuu....
 
Huwa najaribu sana kuwaza......
Kwa jinsi serikali inavyo wa disturb wakazi wa Daslam......
What if wakiamua kuhama jiji na kuelekea kwenye mikoa mingine isiyo na bugudha.....
Hapa nawaza tu
Siyo rahisi, kwa sababu 'hakuna mkoa wenye fursa nyingi kama d'slam.
Idadi kubwa ya watu inafanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa.
Mahitaji uanakuwa makubwa kulingana na wingi wa watu na hivyo huduma nyingi kuhitajika kwa wingi.
 
Siyo rahisi, kwa sababu 'hakuna mkoa wenye fursa nyingi kama d'slam.
Idadi kubwa ya watu inafanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa.
Mahitaji uanakuwa makubwa kulingana na wingi wa watu na hivyo huduma nyingi kuhitajika kwa wingi.
Kuu...
Nimejaribu kufikiria nje ya box
 
Ukiwa mgeni and you know nothing about what happening in this country utahisi hii serikali ni sikivu kupita kiasi na inajali sana watu wake hasa wa chini.

Nimestaajabu sana kusikia eti wamachinga wamechangia kuchelewesha ujenzi WA daraja ubungo vipi ndugu zetu waliobomolewa NYUMBA zao kwa ajili ya mradi ambao huenda hata feasibility phase 1 haijafanyika?and majority waliobomolewa hawawezi kurudia hali waliyokuwa nayo awali km kumiliki NYUMBA tena n.Km NYUMBA zimebomolewa na mambo menginee mengi including unplanned allocation of fund Leo hii machnga wamekuwa tishio kwa maamuzi yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkandarasi anataka kuweka vifaa eneo lote la mradi limejaa wamachinga!

Kama hamna hoja za kukosoa mkae kimya au mngemuuliza Meya Boniface Jacob aliyeenda kuwaomba wamachinga waondoke.
 
wamechinga waliondolewaga Siku nyingi wakapelekwa mawasiliano.....mradi umesuasua mpaka wameamua kurudi
 
Kila kitu tunalalamika sijui tunatoka sayari gani. Tunalalamika sana kuhusu foleni na sasa ujenzi unafanyika lawama kibao. Tuwe na kiasi wandugu. Kuilialia tuuu; hakuna jema. Tukiitwa wapumbavu na malofa (ambayo ni kweli) tunalalamika. Grow girls and boys and give us a break
 
Mlimchagua wenyewe Sasa vepe tupanic Na tutazid kufa njaa ka Sudan Na Hali ngumu hii sometime mtu unaez kujinyonga kwa jinsi mambo yanavoenda ukut apo una family jaman magu hatopit tena 2020 sio mbali tutaonana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sioni kama Kuna Tatizo hapa, For safety reason hawatakiwi kufanya biashara katika eneo hilo wakati ujenzi unaendelea.

Ningeomba serikali kama kuna uwezekano iwatafutie sehemu mbadala wa kufanya biashara zao, Japo hili ni changamoto kwasababu wafanya biashara hao wanafanya biashara katika eneo hili kwasababu ya uwepo wa wingi wa watu.

Maendeleo yana gharama zake, kwa hili tuvumiliane

watanzania tufike mahali tuangalie mambo kwa macho matatu, binafsi naichukia sana ccm tena sana jwahiyo nimejikuta naichukia pamoja na serikali yake lakini kwa hii hatua ya kujenga fly overs napenda kuipongeza sana serikali yetu ni nchi chache sana ukanda huu wa Africa zimefikia hatua hii.

Asante sana wahusika ila muangalie kama kua uwezekano wa kuwasaidia hao mnaowaondoa kwenye maeneo hayo. yawezakuwa ndio njia pekee wanajipatia kipato.
Tuko pamoja kwa hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom