Ubungo Bus Terminal, Ni halali kutoza Mia Mbili?

Ubungo Bus Terminal, Ni halali kutoza Mia Mbili?

chula migingo

Member
Joined
Mar 4, 2015
Posts
18
Reaction score
6
Hakuna huduma ya msingi inayopatikana katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani (UBT) ila unapotaka kujisaidia 'answer the call of nature' uchochoroni ndipo utakapo kumbana na adha ya polisi jamii wakiomba rushwa kwa uchafuzi wa mazingira.

Hii ni sawa kweli kukusanya mia mbilimbili and yet mnashindwa kujenga hata choo cha kulipia?
 
Si halali hata kidogo. Ndani hakuna kivuli, pa kukaa, ama huduma yoyote ya kujikinga na mvua ama jua. Wizi mtupu anatufanyia huyu mke wa mwanasiasa mkongwe...
 
Hakuna huduma ya msingi inayopatikana katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani (UBT) ila unapotaka kujisaidia 'answer the call of nature' uchochoroni ndipo utakapo kumbana na adha ya polisi jamii wakiomba rushwa kwa uchafuzi wa mazingira. hii ni sawa kweli kukusanya mia mbilimbili and yet mnashindwa kujenga hata choo cha kulipia?

Hili Swali la kulipa 200 ubungo bus terminal halinaga jibu.hata waandishi wakienda UBT shughuli zote wataonesha lakini hapo langoni hawagusi
 
Leo nimepita hapo getini nikawaambia nyie mnaokusanya 200/- na aliyewatuma ni wahuni.
 
listend lenyewe limekaa shaghala bhaghala mivumbi tupu. mbona stend za mikoani hazitoz hizo 200 kwa wanaoingia stend?
 
ukifuatilia mapato ya kiingilio na ya mabasi pale getini uwezi fananisha na matumiz...

ndio tz hiyo.
 
Back
Top Bottom