JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
isaya mwita,
..Wassira alikuwa fisadi tangu Mwalimu akiwa madarakani. uliza vituko alivyofanya Mutex alipokuwa mkuu wa mkoa.
..kama kulikuwa na kitu kama laana ya Mwalimu basi ingempata Nyakyoma wa Gapex.
..madai ya wana Tarime ni ya msingi kabisa, lakini kama hata kabla ya kuwasilisha hoja tayari mnafikiria kufanya fujo["Tarime haitatawalika/haitakalika"] sidhani kama mtafika mbali.
..nadhani hao wenye mawazo ya maasi-maasi muwaogope kama UKOMA. badala yake mtafute watu wenye uwezo wa kujenga na kutetea hoja kwa kutumia taratibu za kisheria na kikatiba.
..Wassira alikuwa fisadi tangu Mwalimu akiwa madarakani. uliza vituko alivyofanya Mutex alipokuwa mkuu wa mkoa.
..kama kulikuwa na kitu kama laana ya Mwalimu basi ingempata Nyakyoma wa Gapex.
..madai ya wana Tarime ni ya msingi kabisa, lakini kama hata kabla ya kuwasilisha hoja tayari mnafikiria kufanya fujo["Tarime haitatawalika/haitakalika"] sidhani kama mtafika mbali.
..nadhani hao wenye mawazo ya maasi-maasi muwaogope kama UKOMA. badala yake mtafute watu wenye uwezo wa kujenga na kutetea hoja kwa kutumia taratibu za kisheria na kikatiba.