Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Du! Hii sasa kali,,, Tunaanza ka enzi za kurithiana hata majimbo? huku kwa wengine tunaita enzi za Umangi,, je huko wataita nini? sioni logic yoyote hapa,,, au na wao walishangilia ndugu yao kufa nini? ili warithi ubunge! am kweli sasa kila mtu la lwake