Ngoma droo mbona cdm pia walimsimamisha mgombea wa urais waliekuwa wakimuita fisadi..!
1. Nani?
2. Mahakama ipi ilithibisha?
3. Kesi namba ngapi?
Ngoma droo mbona cdm pia walimsimamisha mgombea wa urais waliekuwa wakimuita fisadi..!
HawatajibuAmethibitishwa na
1. Rais mwenyewe
2. Mahakama
3. Amelipishwa na fine
Cha ajabu ndiye mgombea ubunge ndani ya ccm
Ccm chama cha mafisadi