Ubora wa UDSM upo wapi?

Ubora wa UDSM upo wapi?

mwl mpumbavu toka kuumbwa kwa dunia
ndo km chuo kinazalisha vilaza wa aina bado kuna safar ndefu
Safari hakuna nchi iliyowahi kuimaliza tupambane na safari zetu zisizokuwa na kituo maalumu zaidi ya nadharia.

Hoja ni nzuri kuliko povu

Mfumo rasmi wa elimu hatukuwa nao katika maeneo mengi ya afrika

Tubadilishane maarifa JF ni maskani ya maarifa Leo ukinielimisha pengine kesho nikakuelimisha

Karibu.
 
IQ zetu ni ndogo sana kwahiyo hakuna chuo kitakuwa bora TZ....tunabaki kujisifu tu lakini hakuna tulichofanya kama graduates wa UDSM...wachina hata hawajagraduate lakini ni wanatengeneza vitu kibao....mtoa mada upo sahihi sana 100%...hao maprof na madokta ukikaa nao ndio utashangaa zaidi wanamawazo hakijinga sana ambayo hayajengi
 
Back
Top Bottom