Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,807
- 11,486
Mtanganyika wa kweli uandishi ni kipimo cha IQ yako. Nadhani kwa humu JF ni forum mbili tu (I stand to be corrected) ndizo unaweza kutumia aina hiyo ya uwasilishaji uliyoitumia hapa. Tujenge utamaduni wa kukubali kukosolewa na kujua tulipokosea.