Ubora wa tv za Star-X

duu huu uzi honestly umekuwa productive sanaa maana mi nachanganyikiwa sana punde linapo kuja swala kuchagua flat screen maana huwa zinanichanganya mnooo kuna mdau kagusia swala la tv aina ya TCL amenifurahisha sana amaanipa a amenipa knowledge ya kutosha maana binafsi nilitaka kununua TCL awali lkn nikasita so far bado priority yangu Lg, Tcl, lkn kuna k flat kamoja nimekaona kampuni ya sharp quos pia naona zipo vizuri mbali na madude makubwa ya OLED
 
Mm mwenyewe nafikiria Lg' Samsung au TCL bt lazima ziwe Smart tv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu wadau ni tv gani zinazotumia umeme kiwango cha wstani maana nasikia kuna zingine zina tumia sana umeme au ndio zile zilikuwa za plasma tu
 
Hizi tv box ulaji wake wa bundle si utakua wa hatari mkuu?
 
Hizi tv box ulaji wake wa bundle si utakua wa hatari mkuu?
Ili uweze kuitumia vizuri inabidi uwe ba bundle la kutosha, sema yapo matumizi mengine kama
-kuitumia tv box kustream video za kwenye simu ama laptop
-kucheza games
-kurun programs mbalimbali za offline.

Kuna kifurushi kama bandika bandua cha TTCL kinaweza kufaa kwa matumizi ya tv box.
 
Mkuu hizo zilizo bei juu zina tofauti gani na hizo za kawaida,na pia zina risk gani na hizi za kariakoo zinaweza kunipush kidogo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlimani City kitu cha laki kule laki nne ama tatu, tv ya laki saba kule milion moja na laki tano japo bidhaa ni ileile...bia ya elfu mbili kule 4500 maji ya buku jero kule 3500 na watu wananunua tu....ila wengineo tunaendaga mle kupigwa kuyoyozi cha bure.
 
TCL zamanj ndio tulikuwa tunaijua kama HITACHI

Si mnazikumbuka Hitachi zilivyokuwa ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji772][emoji772][emoji772][emoji772]
 
Asante sana,ubarikiwe mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo muhimu sana,ni vyema ukaniwekea model hapa au majina na duka nikaepuka kujilaumu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani mkuu,kwaio kwa TV box mzuli hapa ni ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes bwana mkwawa! Vp kuhusiana smart TV hazitafuni Sana bundle? Na handrod yake ningap? Na je nikivp unaweza angalia local channels

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes bwana mkwawa! Vp kuhusiana smart TV hazitafuni Sana bundle? Na handrod yake ningap? Na je nikivp unaweza angalia local channels

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utafunaji bundle ni unachotumia hakuna limit maalum jinsi matumizi yalivyo makubwa ndio jinsi linavyoisha

Smart tv chache zinakuja na android.

Samsung zake zinakuja na tizen os
Lg zake zinakuja na web os
Tcl zake zinakuja na roku ama modified linux tv os.
Baadhi ya kampuni zinakuja na android.

Kama ni android local chanell unaona kupitia apps husika kama sio android inabidi uweke links za local chanells manual,zote inawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…