Shayu
Platinum Member
- May 24, 2011
- 608
- 1,653
Leo sina mengi nawakumbusha ya kwamba ubora wa Taifa lolote lile hutegemea sana na ubora wa mawazo ya watu wanaounda Taifa hilo pamoja na nidhamu ya watu wao. Kwa kuwa mtu ni mawazo anayofikiri na jamii pia huundwa na mawazo basi kama jamii yetu sio bora tuangalie upya mawazo yetu.
Tujenge upya Taifa letu, familia zetu na jamii yetu katika fikra sahihi. Baadae yetu itategemea ubora wa fikra zetu na maamuzi yetu tutakayofanya kwa faida ya kesho. Naona Taifa hili kufika mbali ikiwa tu tutabadili mwelekeo wa mawazo yetu.
Tujenge upya Taifa letu, familia zetu na jamii yetu katika fikra sahihi. Baadae yetu itategemea ubora wa fikra zetu na maamuzi yetu tutakayofanya kwa faida ya kesho. Naona Taifa hili kufika mbali ikiwa tu tutabadili mwelekeo wa mawazo yetu.