Tanzania ina watu lakini haina rasilimali watu

Azpilicueta

Member
Sep 8, 2021
86
92
Habarini za jioni wapendwa..

Kwa mujibu wa sensa kama nchi tuna idadi ya watu million 60 ambayo ni idadi kubwa kweli ukilinganisha na majirani zetu , lakini kwangu mimi hawa ni watu waliolala kwa maana kimsingi kama Taifa halina uzalishaji unaoendana na idadi ya watu 60m, nikisema uzalishaji namaanisha bidhaa za mwisho kwenda kwa mtumiaji sio malighafi.

Taifa linalotaka kukua na kukuza kipato cha wananchi wake lazima liwe na mipango ya kuhakikisha watu wake wana nguvu na wenye weledi wa uongezaji thamani rasimali zinazo wazunguka. Bila uzalishaji wa bidhaa zenye thamani na kuongeza wigo wa uzalishaji wa bidhaa kati ya Mtu na mtu umaskini hautakaa uishe kwa wananchi wa chini walioishia zao la saba au form four wasio na ujuzi wowote.

Ukizunguka dar e's salaam kuna idadi kubwa ya vijana wanaofanya shughuli siziso na kueleweka mwisho ni wizi kwa maskini wenzao, tunaishia kuwajaza magerezani ama kuwaua watanzania wenzetu waliokosa dira na kuingia pabaya.

Kwanini tusielekeze nguvu katika miradi ya kimkakati itakayogusa uinuaji wa maarifa ,uelewa na uwezo wa uzalishaji wa bidhaa zenye ubora na zitakazokubalika na jamii ya nje ya Taifa letu.

Kwa mfano ,Moja kwa kuainisha maeneo gani hasa tunataka kuya angalia na kuyatafutia maarifa ya kuyatengenezea bidhaa kwa kuangalia malighafi adimu duniani na inapatikana ndani ya Taifa letu. Pili kuangalia sera zetu kwa madhaifu na ubora wake then kuja na sera imara zaidi inayo toa muongozo juu ya malighafi hizo, kuwa na Sera ya Taifa ya standardisation kwa kila eneo la uzalishaji ili kuwa na miongozo mbalimbali ya uzalishaji bidhaa zenye ubora usiomithilika machoni pa mteja.

Mwisho kuona njia itakayotumika kuwachukua vijana na kuwatumia katika miradi hiyo, lakini hasa njia itakayotumika kuwaongezea maarifa vijana hao. Tunasema tukaboresha mazingira ya Wawekezaji,lakini wawekezaji hawawezi kuja kuweka ela kwenye Taifa linalokosa skilled labor!

Unafikiri njia gani hasa tunaweza kutumia kama Taifa kupunguza watu na kuongeza rasilimali watu?
 
Ulichosema ni sahihi kabisa, Ila Tuanze na wewe umefanya nini kama rasilimali mtu? Kisha tuendelee

Kingine Azpilicueta katika Nchi hii hii kunawatu wanafanya makubwa katika ngazi zote ndogo, kati na kubwa. Wote tupo chini ya uongozi wa kisheria na sera hizo hizo. Wengine kushindwa ni matatizo yao binafsi sio sera wala serikali. Ingekuwa shida ni hiyo hakuna yeyeto angekuwa juu ya mwenzie wote tungekuwa vimo sawa.
 
Ulichosema ni sahihi kabisa, Ila Tuanze na wewe umefanya nini kama rasilimali mtu? Kisha tuendelee
Hahaha mkuu nsijongopee sina kikubwa ninacho kifanya kusaidia Taifa langu katika halakati za kuinua uchumi kwa kuwa mzalishaji kwasababu mbalimbali, lakini sija kata tamaa ni ndoto yangu kuwa na factory ya uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zitakazotokana na mashamba yangu ya miti, Mungu akinipa akili nguvu na uzima labda 2026-2027 nitaanza.
 
Tukajifunze Kwa wavimba macho waliwezaje kutoka kuwa na uchumi sawa na Tanganyika mpaka kuwa mzalishaji Namba moja Duniani kote wakizingatia rasilimali watu walio nayo.
 
Habarini za jioni wapendwa..

Kwa mujibu wa sensa kama nchi tuna idadi ya watu million 60 ambayo ni idadi kubwa kweli ukilinganisha na majirani zetu , lakini kwangu mimi hawa ni watu waliolala kwa maana kimsingi kama Taifa halina uzalishaji unaoendana na idadi ya watu 60m, nikisema uzalishaji namaanisha bidhaa za mwisho kwenda kwa mtumiaji sio malighafi.

Taifa linalotaka kukua na kukuza kipato cha wananchi wake lazima liwe na mipango ya kuhakikisha watu wake wana nguvu na wenye weledi wa uongezaji thamani rasimali zinazo wazunguka. Bila uzalishaji wa bidhaa zenye thamani na kuongeza wigo wa uzalishaji wa bidhaa kati ya Mtu na mtu umaskini hautakaa uishe kwa wananchi wa chini walioishia zao la saba au form four wasio na ujuzi wowote.

Ukizunguka dar e's salaam kuna idadi kubwa ya vijana wanaofanya shughuli siziso na kueleweka mwisho ni wizi kwa maskini wenzao, tunaishia kuwajaza magerezani ama kuwaua watanzania wenzetu waliokosa dira na kuingia pabaya.

Kwanini tusielekeze nguvu katika miradi ya kimkakati itakayogusa uinuaji wa maarifa ,uelewa na uwezo wa uzalishaji wa bidhaa zenye ubora na zitakazokubalika na jamii ya nje ya Taifa letu.

Kwa mfano ,Moja kwa kuainisha maeneo gani hasa tunataka kuya angalia na kuyatafutia maarifa ya kuyatengenezea bidhaa kwa kuangalia malighafi adimu duniani na inapatikana ndani ya Taifa letu. Pili kuangalia sera zetu kwa madhaifu na ubora wake then kuja na sera imara zaidi inayo toa muongozo juu ya malighafi hizo, kuwa na Sera ya Taifa ya standardisation kwa kila eneo la uzalishaji ili kuwa na miongozo mbalimbali ya uzalishaji bidhaa zenye ubora usiomithilika machoni pa mteja.

Mwisho kuona njia itakayotumika kuwachukua vijana na kuwatumia katika miradi hiyo, lakini hasa njia itakayotumika kuwaongezea maarifa vijana hao. Tunasema tukaboresha mazingira ya Wawekezaji,lakini wawekezaji hawawezi kuja kuweka ela kwenye Taifa linalokosa skilled labor!

Unafikiri njia gani hasa tunaweza kutumia kama Taifa kupunguza watu na kuongeza rasilimali watu?
Ina mijitu
 
MTU ili aweze kuwa productive anabidi kulishwa chakula sahihi katika Akili yake ili aweze kuingia katika uzalishaji mali na baadae kujikomboa katika umasikini uliopitiliza .

Hivyo wanasiasa wanajua kuhusu hili jambo na wao wanashiriki Ku-promote mpira wa simba na yanga Kwa nguvu kubwa Sana ili tu kuhakikisha jamii au taifa halisongi mbele .



Ushauri
Ili serikali iweze kuwa na WATU wzalishaji mali lazima waongeze nguvu katika utoaji wa maarifa yatakayomjenga MTU , kiakili na baada ya hapo MTU atajikomboa kirahisi kutoka katika umasikini.

Akili ni Kama mwili ulivyo , Akili hufanya kazi kutokana na unavyoilisha ikiwa utailisha akili mambo ambayao hayakujengi lazima utaishia kufanya na kutenda mambo ambayo hayajengi .

Tatizo la nchi yetu sio kuwa tuna idadi kubwa ya WATU tatizo tuna idadi kubwa ya watu ambao hawajui wanahitaji nini katika MAISHA hivyo WAO wameamua kuwakabidhi wanasiasa MAISHA yao na FUTURE yao.
 
Kiongozi
Nafikiri ungependekeza baadhi ya miradi unayo ona inaweza kuwekezwa na kutoa ajira kwa wingi na kuongeza walipa kodi. Ni iIli ujitofautishe na wengi wanao andika makabrasha mengi ya kupendekeza BILA ku hit the nail on the head......
Miradi ikisha julishakana; nirahisi kuona jinsi VETA watakavyo patia vijana ujuzi
Nmeshindwa kuongeza hilo, lakini nmewaomba chini mtoe mawazo yenu pia muwazavyo
 
MTU ili aweze kuwa productive anabidi kulishwa chakula sahihi katika Akili yake ili aweze kuingia katika uzalishaji mali na baadae kujikomboa katika umasikini uliopitiliza .

Hivyo wanasiasa wanajua kuhusu hili jambo na wao wanashiriki Ku-promote mpira wa simba na yanga Kwa nguvu kubwa Sana ili tu kuhakikisha jamii au taifa halisongi mbele .



Ushauri
Ili serikali iweze kuwa na WATU wzalishaji mali lazima waongeze nguvu katika utoaji wa maarifa yatakayomjenga MTU , kiakili na baada ya hapo MTU atajikomboa kirahisi kutoka katika umasikini.

Akili ni Kama mwili ulivyo , Akili hufanya kazi kutokana na unavyoilisha ikiwa utailisha akili mambo ambayao hayakujengi lazima utaishia kufanya na kutenda mambo ambayo hayajengi .

Tatizo la nchi yetu sio kuwa tuna idadi kubwa ya WATU tatizo tuna idadi kubwa ya watu ambao hawajui wanahitaji nini katika MAISHA hivyo WAO wameamua kuwakabidhi wanasiasa MAISHA yao na FUTURE yao.
Wanajenga miundombinu, huku akili za watumia miundombinu fupi
 
Habarini za jioni wapendwa..

Kwa mujibu wa sensa kama nchi tuna idadi ya watu million 60 ambayo ni idadi kubwa kweli ukilinganisha na majirani zetu , lakini kwangu mimi hawa ni watu waliolala kwa maana kimsingi kama Taifa halina uzalishaji unaoendana na idadi ya watu 60m, nikisema uzalishaji namaanisha bidhaa za mwisho kwenda kwa mtumiaji sio malighafi.

Taifa linalotaka kukua na kukuza kipato cha wananchi wake lazima liwe na mipango ya kuhakikisha watu wake wana nguvu na wenye weledi wa uongezaji thamani rasimali zinazo wazunguka. Bila uzalishaji wa bidhaa zenye thamani na kuongeza wigo wa uzalishaji wa bidhaa kati ya Mtu na mtu umaskini hautakaa uishe kwa wananchi wa chini walioishia zao la saba au form four wasio na ujuzi wowote.

Ukizunguka dar e's salaam kuna idadi kubwa ya vijana wanaofanya shughuli siziso na kueleweka mwisho ni wizi kwa maskini wenzao, tunaishia kuwajaza magerezani ama kuwaua watanzania wenzetu waliokosa dira na kuingia pabaya.

Kwanini tusielekeze nguvu katika miradi ya kimkakati itakayogusa uinuaji wa maarifa ,uelewa na uwezo wa uzalishaji wa bidhaa zenye ubora na zitakazokubalika na jamii ya nje ya Taifa letu.

Kwa mfano ,Moja kwa kuainisha maeneo gani hasa tunataka kuya angalia na kuyatafutia maarifa ya kuyatengenezea bidhaa kwa kuangalia malighafi adimu duniani na inapatikana ndani ya Taifa letu. Pili kuangalia sera zetu kwa madhaifu na ubora wake then kuja na sera imara zaidi inayo toa muongozo juu ya malighafi hizo, kuwa na Sera ya Taifa ya standardisation kwa kila eneo la uzalishaji ili kuwa na miongozo mbalimbali ya uzalishaji bidhaa zenye ubora usiomithilika machoni pa mteja.

Mwisho kuona njia itakayotumika kuwachukua vijana na kuwatumia katika miradi hiyo, lakini hasa njia itakayotumika kuwaongezea maarifa vijana hao. Tunasema tukaboresha mazingira ya Wawekezaji,lakini wawekezaji hawawezi kuja kuweka ela kwenye Taifa linalokosa skilled labor!

Unafikiri njia gani hasa tunaweza kutumia kama Taifa kupunguza watu na kuongeza rasilimali watu?
Mkuu ulichoongea ni sahihi ila kwenye suala la kuuza bidhaa nje kwa Tanzania bado sana kwasababu kilimo chetu ni cha mvua bado hatuwezi kuuza na kupata chakula cha kuhifadhi hvyo vitu vitapanda bei tukianza ku export.

Lakini kabla hatujafika mbali tuanze kuondoa madude ya mchina yaliyotapakaa mtaani na sehemu za kubeti na matangazo ya kubeti kwenye vipindi vya redio tunatengeneza taifa la aina gani.
 
Mkuu ulichoongea ni sahihi ila kwenye suala la kuuza bidhaa nje kwa Tanzania bado sana kwasababu kilimo chetu ni cha mvua bado hatuwezi kuuza na kupata chakula cha kuhifadhi hvyo vitu vitapanda bei tukianza ku export.

Lakini kabla hatujafika mbali tuanze kuondoa madude ya mchina yaliyotapakaa mtaani na sehemu za kubeti na matangazo ya kubeti kwenye vipindi vya redio tunatengeneza taifa la aina gani.
Kubeti ni uchizi vijana awaelewi tu bora kucheza upatu, mazingira yanaweza kutengenezwa tukapunguza kuweka ela kwenye miradi baadhi na kuweka kwenye programu maalumu nchi nzima za kuongeza tija kwa kuongeza skills za watu, kwenye uandaji malighafi kama hivo kilimo,irrigation skills ziwe vichwani mwa watu wengi walio kwenye maeneo ya kilimo, huku tukiandaa watu kuwa na uwezo wa kutengeneza bidhaa mbalimbali, usimamiz ukiwepo matokeo yatakuwa makubwa kuliko hali tuliyonayo sasa
 
Habarini za jioni wapendwa..

Kwa mujibu wa sensa kama nchi tuna idadi ya watu million 60 ambayo ni idadi kubwa kweli ukilinganisha na majirani zetu , lakini kwangu mimi hawa ni watu waliolala kwa maana kimsingi kama Taifa halina uzalishaji unaoendana na idadi ya watu 60m, nikisema uzalishaji namaanisha bidhaa za mwisho kwenda kwa mtumiaji sio malighafi.

Taifa linalotaka kukua na kukuza kipato cha wananchi wake lazima liwe na mipango ya kuhakikisha watu wake wana nguvu na wenye weledi wa uongezaji thamani rasimali zinazo wazunguka. Bila uzalishaji wa bidhaa zenye thamani na kuongeza wigo wa uzalishaji wa bidhaa kati ya Mtu na mtu umaskini hautakaa uishe kwa wananchi wa chini walioishia zao la saba au form four wasio na ujuzi wowote.

Ukizunguka dar e's salaam kuna idadi kubwa ya vijana wanaofanya shughuli siziso na kueleweka mwisho ni wizi kwa maskini wenzao, tunaishia kuwajaza magerezani ama kuwaua watanzania wenzetu waliokosa dira na kuingia pabaya.

Kwanini tusielekeze nguvu katika miradi ya kimkakati itakayogusa uinuaji wa maarifa ,uelewa na uwezo wa uzalishaji wa bidhaa zenye ubora na zitakazokubalika na jamii ya nje ya Taifa letu.

Kwa mfano ,Moja kwa kuainisha maeneo gani hasa tunataka kuya angalia na kuyatafutia maarifa ya kuyatengenezea bidhaa kwa kuangalia malighafi adimu duniani na inapatikana ndani ya Taifa letu. Pili kuangalia sera zetu kwa madhaifu na ubora wake then kuja na sera imara zaidi inayo toa muongozo juu ya malighafi hizo, kuwa na Sera ya Taifa ya standardisation kwa kila eneo la uzalishaji ili kuwa na miongozo mbalimbali ya uzalishaji bidhaa zenye ubora usiomithilika machoni pa mteja.

Mwisho kuona njia itakayotumika kuwachukua vijana na kuwatumia katika miradi hiyo, lakini hasa njia itakayotumika kuwaongezea maarifa vijana hao. Tunasema tukaboresha mazingira ya Wawekezaji,lakini wawekezaji hawawezi kuja kuweka ela kwenye Taifa linalokosa skilled labor!

Unafikiri njia gani hasa tunaweza kutumia kama Taifa kupunguza watu na kuongeza rasilimali watu?
Hata hii ajira mpya ya UCHAWA nayo haina rasilimali watu mkuu?
 
Back
Top Bottom