Mkuu asante kwa kutoa tahadhari kuhusu vyuo tajwa. Huko Japan bila Scholarship si nitaumbuka?Ubora wa vyou hivyo tajwa ni kutoa Phd zenye utata , na hata walio tunukiwa Phd na hivyo vyuo maamuzi yao mengi ni ya utata, na hata hawafananii na Phd kabisa. Kama unata kufanya Phd na upo serious kidogo jaribu vyuo vya Japan
Mkuu asante kwa kutoa tahadhari kuhusu vyuo tajwa. Huko Japan bila Scholarship si nitaumbuka?
Asante ndugu. Ngoja nijiandae niende hapo ubalozini.Nenda ubalozini. Kama una akili na mtu wa kupiga kazi, Japan huwezi pata tabu .... ila napo uwe na juhudi kweli kukijua kijapan maisha yataenda vizuri hadi unamaliza. Ila hawana janja janja kama huku Tanzania
Inshallah! laiti Muslim University of Morogoro wangekuwa wanatoa PhD pengine ningesoma hapo. Maana wana programmes nzuri sana Undergraduate.Duu! Nimekumbuka matarumbeta wanayopigiwa wakienda kutunukiwa, halafu wanakwenda kwa mwendo wa maringoooo, raha sana. Wanatembea taratibuuu.
Mkuu Mungu akutangulie ufanye hiyo Phd yako na mwisho ufanikiwe
Inshallah! laiti Muslim University of Morogoro wangekuwa wanatoa PhD pengine ningesoma hapo. Maana wana programmes nzuri sana Undergraduate.
Pia mimi niliwahi na Kademu hapo Moro sema tulikuwa tunafanya kwa siri sana maana wale jamaa wakikustukia Mgalatia unakamua mwenzao ama wakupopoe mawe au bibie afukuzwe chuo. So disgusting. Unafiki tuTrue, hata the state university of Zanzibar, sijui siku hizi. Hapo morogoro wapo vizuri sana nilikuaga na kademu kangu hapo aisee kalikua kanajua vitu hatari theory and practical....
Pia mimi niliwahi na Kademu hapo Moro sema tulikuwa tunafanya kwa siri sana maana wale jamaa wakikustukia Mgalatia unakamua mwenzao ama wakupige mawe au bibie afukuzwe chuo. So disgusting. Unafiki tu
Hongera sana kwa kupata joto la HijjabNilikuaga nakadakia huku Dar, hata siku tatu kanakuja napiga vitu kwa hotel. Sijui kalikua kana fanyaje hadi kanapata mpenyo wa kuja huku Dar kukulwa. Mwanamke akikupenda anafanya lolote ili kukufurahisha na akikuchukia pia utakoma na unaweza juta kumfahamu.
Safari njema ya Phd....
Yaani mi huwa naona ni ujinga kabisa kupigiwa matarumbeta. Kwa ufupi huwa ni upumbavuDuu! Nimekumbuka matarumbeta wanayopigiwa wakienda kutunukiwa, halafu wanakwenda kwa mwendo wa maringoooo, raha sana. Wanatembea taratibuuu.
Mkuu Mungu akutangulie ufanye hiyo Phd yako na mwisho ufanikiwe
Mie naona raha sana wanavyokwenda kwa mwendo wa kuringa ringa. Napenda sanaYaani mi huwa naona ni ujinga kabisa kupigiwa matarumbeta. Kwa ufupi huwa ni upumbavu
Nenda ESAMI Arusha, utasoma PhD ya Mastrich University ya Netherland ukimaliza hapo hutakuwa na maneno yenye utata na utakuwa na msimamo na ukitaka kuchangia hoja au kuongea kitu utafikiria kwanza ukitoa kila mtu anakukubali. ole wako usiingie kwenye siasa za nchi ile kaa mbali maana watakuharibuWakuu nataka kujiendeleza kwa ngazi ya PhD kati ya Open University, Mzumbe au UDOM nisaidien kujua ubora wa vyuo tajwa
Ada yake inacheza kwenye ngap?Nenda ESAMI Arusha, utasoma PhD ya Mastrich University ya Netherland ukimaliza hapo hutakuwa na maneno yenye utata na utakuwa na msimamo na ukitaka kuchangia hoja au kuongea kitu utafikiria kwanza ukitoa kila mtu anakukubali. ole wako usiingie kwenye siasa za nchi ile kaa mbali maana watakuharibu
Nakuunga mkono maana nmeshuhudia hzo phd n za kibabe sana ila kuna raha yakeUbora wa vyou hivyo tajwa ni kutoa Phd zenye utata , na hata walio tunukiwa Phd na hivyo vyuo maamuzi yao mengi ni ya utata, na hata hawafananii na Phd kabisa. Kama unata kufanya Phd na upo serious kidogo jaribu vyuo vya Japan
Duh ukiuzulia hzo sherehe utataman shle japo mziki wake n mkubwa m nakumbuka kuna jamaa alikuwa nguli wa mambo ya language na alituenyesha sana sasa sku ya presentation yake nkauzulia jamn phd n kasheshe kwanza akat anapresent akaambiwa unasoma au unaimba maana hatuelew jamaa alipanic kinyamaDuu! Nimekumbuka matarumbeta wanayopigiwa wakienda kutunukiwa, halafu wanakwenda kwa mwendo wa maringoooo, raha sana. Wanatembea taratibuuu.
Mkuu Mungu akutangulie ufanye hiyo Phd yako na mwisho ufanikiwe
Alikuja kutunukiwa au ndio alifeli jumla?Duh ukiuzulia hzo sherehe utataman shle japo mziki wake n mkubwa m nakumbuka kuna jamaa alikuwa nguli wa mambo ya language na alituenyesha sana sasa sku ya presentation yake nkauzulia jamn phd n kasheshe kwanza akat anapresent akaambiwa unasoma au unaimba maana hatuelew jamaa alipanic kinyama
We unajua raha ya yale matarumbeta ww asikwambie mtu labda uloyaangalia yako tofaut na navyoyajua kwanza sherehe za wasom znakuwa nzur sana nakumbuka duh acha kabisaYaani mi huwa naona ni ujinga kabisa kupigiwa matarumbeta. Kwa ufupi huwa ni upumbavu