Senorita23
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 388
- 481
Uliona chuo pendwa kama mm nn maana kwanza ule mpangilio utapenda na wanavyopga matarumbeta kwa ustad phd raha sanaMie naona raha sana wanavyokwenda kwa mwendo wa kuringa ringa. Napenda sana
Uliona chuo pendwa kama mm nn maana kwanza ule mpangilio utapenda na wanavyopga matarumbeta kwa ustad phd raha sanaMie naona raha sana wanavyokwenda kwa mwendo wa kuringa ringa. Napenda sana
Wanafundisha hadi vitu hatari theoretical na practical,daaa sijui nikaopoe kamoja.?True, hata the state university of Zanzibar, sijui siku hizi. Hapo morogoro wapo vizuri sana nilikuaga na kademu kangu hapo aisee kalikua kanajua vitu hatari theory and practical....
Wanafundisha hadi vitu hatari theoretical na practical,daaa sijui nikaopoe kamoja.?
Mmmmmmh wiiiiiiiii........hivi hiki hakijafungiwa bado?Inshallah! laiti Muslim University of Morogoro wangekuwa wanatoa PhD pengine ningesoma hapo. Maana wana programmes nzuri sana Undergraduate.
Chuo makini barani. Kina programmes makini ikiwemo Sharià.Mmmmmmh wiiiiiiiii........hivi hiki hakijafungiwa bado?
KuCHUKUA PhD? una qualifications za ku-apply PhD? (tuanzie hapo)PhD sijui kama nitachukulia bongo mungu niepushe
Kwetu tuna msemo "mtoto uongelea anapopajua" tafsiri isiyo rasmi ya lugha mama.Chuo makini barani. Kina programmes makini ikiwemo Sharià.
MUM ukiacha zile propaganda za vyuo flan ni chuo bora baraniKwetu tuna msemo "mtoto uongelea anapopajua" tafsiri isiyo rasmi ya lugha mama.
Teh teh teh an old English saying "every rumour has a reason" chuo bora barani? Bara lipi? Kwa takwimu gani? Au authority gani? Kwa ufupi nothing academic in terms of research publications, consultancy, MUM is at the end tail nationally let alone at the international stage. Au ndo unaongea kimahaba?MUM ukiacha zile propaganda za vyuo flan ni chuo bora barani
The battle always is the battle of the mind,if your mind is conquered then you are going nowhere.Nenda ubalozini. Kama una akili na mtu wa kupiga kazi, Japan huwezi pata tabu .... ila napo uwe na juhudi kweli kukijua kijapan maisha yataenda vizuri hadi unamaliza. Ila hawana janja janja kama huku Tanzania
Teh teh teh an old English saying "every rumour has a reason" chuo bora barani? Bara lipi? Kwa takwimu gani? Au authority gani? Kwa ufupi nothing academic in terms of research publications, consultancy, MUM is at the end tail nationally let alone at the international stage. Au ndo unaongea kimahaba?
Kiukweli nahitaji PhD kwa sasa
PhD kwa maendeleoPhd nyingi bongo niza kikuda
Hawo wenye phd walio na malmaka wanafanya wote wenye elimu hiyo waonekame sio kitu soi chochote
Duuh, kuimba? ndo maana watu wengi wanaiogopa PhD, FULL STRESS, na hatuko tayari kukosolewa, huyo jamaa alifaulu kweli hiyo Viva Voce/ Public Defence?Duh ukiuzulia hzo sherehe utataman shle japo mziki wake n mkubwa m nakumbuka kuna jamaa alikuwa nguli wa mambo ya language na alituenyesha sana sasa sku ya presentation yake nkauzulia jamn phd n kasheshe kwanza akat anapresent akaambiwa unasoma au unaimba maana hatuelew jamaa alipanic kinyama
Kwani Udsm Na MUM wana ugomvi au utani wa jadi? Nilitegemea labda mtu ataleta to the contrary nilichokiandika. Anyway ndugu sio kesi na hawajanifanya kitu. Samahani kwa waliokwazika Mimi nimejitoa kwanye mada ya mumMkuu wee wa udsm nini mbona unakipondea sana MUM
Wamekufanyaje wale watu
Nafikiri mkuu ungetueleza huo utata uko katika maeneo gani ingekuwa vizuri ili muombaji ajitathimini.Ubora wa vyou hivyo tajwa ni kutoa Phd zenye utata , na hata walio tunukiwa Phd na hivyo vyuo maamuzi yao mengi ni ya utata, na hata hawafananii na Phd kabisa. Kama unata kufanya Phd na upo serious kidogo jaribu vyuo vya Japan
Kijapan tena?Nenda ubalozini. Kama una akili na mtu wa kupiga kazi, Japan huwezi pata tabu .... ila napo uwe na juhudi kweli kukijua kijapan maisha yataenda vizuri hadi unamaliza. Ila hawana janja janja kama huku Tanzania