The Incognito
Member
- Apr 1, 2012
- 44
- 8
Heshima kwako mkuu kipumbwi kwa uzi huu mujarabu..
Hakika sisi wahenga tumeburudika sana kwa kujikumbusha enzi bongo fleva imeshika hatamu.
kwa muda mrefu sana nimekuwa nikitafuta wimbo mmoja hivi umeimbwa na wasanii wengi sana (Chid Benz, Joslin, makamua n.k)nimeusahau jina ila wameimba wasanii wengi sana.
Kwangu mimi huu ni zaid ya wimbo kwani unatuhamasisga sisi kama waafrika tujitambue na tukaze bila kusahau maombi/sala kwa mwenyezi Mungu.
korasi iko hivi
"Nasema oooh Afrika inaangamia ...."
kwenye verse kuna mstari unasema " mwenyezi tuangazie mola wetu pekee......
halaf kuna mahali makamua anasema " Pema japo pema pasipo mema sio pema tena"
Natanguliza shukran za dhati sana wana jamvi nitashukuru sana kama nitaupata huu wimbo
CC zacha
Hakika sisi wahenga tumeburudika sana kwa kujikumbusha enzi bongo fleva imeshika hatamu.
kwa muda mrefu sana nimekuwa nikitafuta wimbo mmoja hivi umeimbwa na wasanii wengi sana (Chid Benz, Joslin, makamua n.k)nimeusahau jina ila wameimba wasanii wengi sana.
Kwangu mimi huu ni zaid ya wimbo kwani unatuhamasisga sisi kama waafrika tujitambue na tukaze bila kusahau maombi/sala kwa mwenyezi Mungu.
korasi iko hivi
"Nasema oooh Afrika inaangamia ...."
kwenye verse kuna mstari unasema " mwenyezi tuangazie mola wetu pekee......
halaf kuna mahali makamua anasema " Pema japo pema pasipo mema sio pema tena"
Natanguliza shukran za dhati sana wana jamvi nitashukuru sana kama nitaupata huu wimbo
CC zacha