ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,137
- 3,764
Siyo CPA za chupi!Embu fikiria,kijana amemaliza chuo ,akajiandikisha kufanya mitihani wakati anaendelea kutafuta kazi.Kabla hajapata kazi,tayari amepata CPA.Je unafikiria huyu ataweza kufanya hizo kazi za kufunga vitabu?Ndiyo maana hata chombo chao NBAA kinasema ukipata CPA basi ufanye kazi miaka 3 chini ya mtu ili kukutrain kivitendo zaidi maan nadhari tayari anakuwa nayo.
Yale yale makosa tunayoyafanya kutokana na mbio zetu za maisha ,tunaacha misingi tuliyoiweka wenyewe na kuangalia madarasa yajae matokeo ndio haya,master zilizoshallow,CPA ZA Kushindanishwa kukariri,