Ubora wa camera ya Tecno camon cx

Msiwadharau sana Tecno,wamenunua kiwanda cha simu huko ufaransa kilicho kuwa kiwanda cha simu ziitwazo Sagem.
Arafu wapumbavu wanasema ni kampuni isiyo julikana kampuni isiyo julikana inaweza kununua kampuni rasmi wanataka kuleta siasa za CCM NA KAMPUNI FEKI ZA UWEKEZAJI TANZANIA ZISIZO JULIKANA ZA KINANANI
 
Sina la kuongea ila usitegemee kupanda mahindi ili uvune mpunga.
 
Kama TECNO hawana makao makuu, wanaweza vip kuidhamin klab kubwa kama man City?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu bado mnabishana vitu vilivyo wazi kabisa
 
Kuliko kuandika maelezo yote haya uonekane unajua zaidi kuliko wengine, ungetumia huo muda sasa kuleza hayo ulio mkosoa Chief Mkwawa,
Bishana kwa hoja sio usubiri mwezio achambue jambo wewe ukosoe wakati nafasi ya kufanya ulicho mweleza unayo.
 
Hatimae juzi nikaimiliki hii simu mkononi nikadumu nayo kama siku 3 ya nne mashabiki wa Teccno wakafika bei wakaichukua.
Yaani camera yake inazidiwa hata Samsung Galaxy Note 3
 
Hatimae juzi nikaimiliki hii simu mkononi nikadumu nayo kama siku 3 ya nne mashabiki wa Teccno wakafika bei wakaichukua.
Yaani camera yake inazidiwa hata Samsung Galaxy Note 3
hahahaha aisee
 
Je chief ni website ipi inachambua hizo specification kama hivo ulivozungumza hapo?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…