Ubora duni wa viongozi wetu: Niko mjini Morogoro, MORUWASA ni mfano wa uongozi mbovu

Zygot

JF-Expert Member
Apr 14, 2016
2,239
2,867
Niko hapa Morogoro najaribu kutafuta raha itokanayo na huyu anayeitwa Samia. Yaani eti mji mzima una matatizo ya maji. Ajabu ni Wafanyakazi wa MORUWASA ndo wafanyabiashara ya maji.

Nimejiajili na kuanza kuwa mwandishi wa habari za uchunguzi; kuna magari zaidi ya 50 yakizunguka majumbani kuuza maji, yanayotoka kwenye matenki ya MORUWASA. Ni hali ya kusikitisha kwamba Usanii wa wizara hii uko nchi nzima. Ni utawala wa kubembelezana na kujisifu rangi yangu nyeupe! macho yangu yamelegea!

Taarifa za mitaani ni kwamba wafanyakazi wa MORUWASA wanafunga mabomba na badala yake maji hayo yanauzwa kwa kutumia magari ya waajiliwa hawa. Ikifika Usiku milima yote inawaka moto. Ni uchomaji kila kona ya mji. Aibu ni kwamba Mkuu wa mkoa yupo! Mkuu wa wilaya yupo! Nini thamani ya kuwa na viogozi wa ngazi hizi? Nini kazi zao za kila siku?
 
Ukienda kwenye mamlaka za maji vijijini ndo utazimia, gharama za kuunganishiwa maji vijijini ni kubwa kuliko mjini Kuna vitu wanaviita "vilula".

Ni lazima uunganishiwe hapo kwenye kilula na katika kitongoji kimoja kilula ni kimoja na hata mkiwa watatu katika eneo moja ni lazima muunganishiwe kwenye vilula. Hapo Bado Bill za kubambikiwa. Aliyeloga Bara la Afrika tumtafute atusaidie majibu kama sio majawabu
 
Kuunganishiwa maji vijiji eti mpaka usainiwe fomu ya maombi karibu na watu watatu, yote ya nini hiyo.Ni kutengeneza mwanya wa rushwa.Fomi isainiwe na kiongozi mmoja either Mtendaji wa Kijiji au M.kiti wa Kijiji inatosha.Pia wale surveyors wenu ni KERO wamekuwa ni miungu watu, bila kitu kidogo hawafanyi kazi na ikiwezekana badilisheni wakurugenzi na watumishi katika mamlaka hizo wengi wamezifanya ofisi ni zao.
 
Mbongo yuko radhi aharibu moundombinu ya billion 100 ili apate fida binafsi ya mils 5, kiongoz anakuwa tayari kuuza mali ya nchi ya bils 500 ili apewe v8 na mtoto wake asome nje.
Hizi ndizo akili zetu
Ubinafsi uliokithiri yani! Wabongo umaskini na njaa zetu imekuwa kama laana yani! Tunateseka mno kwa starehe za viongozi wachache ambao wao hawajali ilimradi wao na familia zao wale raha na kuishi kifahari!
 
Nchi imewashinda, wananchi mtapambana na halizenu huko mtaani, kama vile sisi "tunavyopambana na hawa magaidi wa kisiasa" ili tubaki madarakani.
 
Nani anakumbuka neno hili: "Aaa! Mali ya Umma!" Kuna Bosi mmoja sehemu yake ya kazi ilikuwa na mapungufu meengi ambayo yalikuwa ndani ya uwezo wake kuyatatua.
Ukimweleza, jibu lake lilikuwa: "Achana na Mimi bwana! I'm now fifty eight years old, acha atakayekuja aje arekebishe".
 
Niko hapa Morogoro najaribu kutafuta raha itokanayo na huyu anayeitwa Samia. Yaani eti mji mzima una matatizo ya maji. Ajabu ni Wafanyakazi wa MORUWASA ndo wafanyabiashara ya maji.

Nimejiajili na kuanza kuwa mwandishi wa habari za uchunguzi; kuna magari zaidi ya 50 yakizunguka majumbani kuuza maji, yanayotoka kwenye matenki ya MORUWASA. Ni hali ya kusikitisha kwamba Usanii wa wizara hii uko nchi nzima. Ni utawala wa kubembelezana na kujisifu rangi yangu nyeupe! macho yangu yamelegea!

Taarifa za mitaani ni kwamba wafanyakazi wa MORUWASA wanafunga mabomba na badala yake maji hayo yanauzwa kwa kutumia magari ya waajiliwa hawa. Ikifika Usiku milima yote inawaka moto. Ni uchomaji kila kona ya mji. Aibu ni kwamba Mkuu wa mkoa yupo! Mkuu wa wilaya yupo! Nini thamani ya kuwa na viogozi wa ngazi hizi? Nini kazi zao za kila siku?
Wanajifanya kukamata waokota kuni milimani, wakat wanachoma wao milimam kwenye vyanzo vya maji, ili wauze maji mitaani, Kuna walinz mbona wanashindwa kudhibit Moto.
 
Niko hapa Morogoro najaribu kutafuta raha itokanayo na huyu anayeitwa Samia. Yaani eti mji mzima una matatizo ya maji. Ajabu ni Wafanyakazi wa MORUWASA ndo wafanyabiashara ya maji.

Nimejiajili na kuanza kuwa mwandishi wa habari za uchunguzi; kuna magari zaidi ya 50 yakizunguka majumbani kuuza maji, yanayotoka kwenye matenki ya MORUWASA. Ni hali ya kusikitisha kwamba Usanii wa wizara hii uko nchi nzima. Ni utawala wa kubembelezana na kujisifu rangi yangu nyeupe! macho yangu yamelegea!

Taarifa za mitaani ni kwamba wafanyakazi wa MORUWASA wanafunga mabomba na badala yake maji hayo yanauzwa kwa kutumia magari ya waajiliwa hawa. Ikifika Usiku milima yote inawaka moto. Ni uchomaji kila kona ya mji. Aibu ni kwamba Mkuu wa mkoa yupo! Mkuu wa wilaya yupo! Nini thamani ya kuwa na viogozi wa ngazi hizi? Nini kazi zao za kila siku?
Ukweli viongozi Africa wengi wao hamna kitu hasa wabunge. Tatizo Tanzania vichwa hawajishughulishi na siasa wanafanya mambo yao. Vilaza ndo siasa sana. Kilaza anakuja kumuongoza kichwa na ashauriki.
 
Hili swala tushapifa kelele sana humu ndani kuhusu MORUWASA

sio MSANDO,Mkuu wake wa mkoa Wala AWESO

Hio idara imeoza Sana sana sana basi tu watu wa Moro wanaishi maisha ya kifala Sana kisa shida za maji


Hio idara inapaswa ifumuliwe yote asibakie hata mtu hapo wote wasepe maana wanaambukizana ujinga
 
Waziri wa maji kazi yake ni kuzunguka na kupiga picha na mabomba pamoja na matank daily huku matatizo yakiwe palepale, kati ya wizara zinazohitaji reformation ni hii ya maji
Just imagine Moro kuna vyanzo vingi vya maji lakini wanachi wake wanaweza kosa maji hata wiki nzima

Halafu kitaa magari ya idara sijui wafanyakazo binafsi wanauza maji .

AWESO shtuka hao morowasa wakazie moja kati idara mbovu mbovu Sana hapa nchi
 
Niko hapa Morogoro najaribu kutafuta raha itokanayo na huyu anayeitwa Samia. Yaani eti mji mzima una matatizo ya maji. Ajabu ni Wafanyakazi wa MORUWASA ndo wafanyabiashara ya maji.

Nimejiajili na kuanza kuwa mwandishi wa habari za uchunguzi; kuna magari zaidi ya 50 yakizunguka majumbani kuuza maji, yanayotoka kwenye matenki ya MORUWASA. Ni hali ya kusikitisha kwamba Usanii wa wizara hii uko nchi nzima. Ni utawala wa kubembelezana na kujisifu rangi yangu nyeupe! macho yangu yamelegea!

Taarifa za mitaani ni kwamba wafanyakazi wa MORUWASA wanafunga mabomba na badala yake maji hayo yanauzwa kwa kutumia magari ya waajiliwa hawa. Ikifika Usiku milima yote inawaka moto. Ni uchomaji kila kona ya mji. Aibu ni kwamba Mkuu wa mkoa yupo! Mkuu wa wilaya yupo! Nini thamani ya kuwa na viogozi wa ngazi hizi? Nini kazi zao za kila siku?
Ni kweli kabisa mkuu, MORUWASA ni jipu. Aweso sijui yuko wapi, kazi ni mipasho tu.
 
Back
Top Bottom