Ubora duni wa viongozi wetu: Niko mjini Morogoro, MORUWASA ni mfano wa uongozi mbovu

Kujisifia Rangi Yangu Nyeupe, Macho Yangu Yamelegea Haa

Mkuu Hapo Napajua Kuhusu Maji Ni Tatizo La Kudumu
Mbaya Zaidi Vyanzo Vipo Vingi, Unaambiwa Mgawo

Saidia Mkuu Kuweka Number Za Hizo Water Bowser
 
Niko hapa Morogoro najaribu kutafuta raha itokanayo na huyu anayeitwa Samia. Yaani eti mji mzima una matatizo ya maji. Ajabu ni Wafanyakazi wa MORUWASA ndo wafanyabiashara ya maji.

Nimejiajili na kuanza kuwa mwandishi wa habari za uchunguzi; kuna magari zaidi ya 50 yakizunguka majumbani kuuza maji, yanayotoka kwenye matenki ya MORUWASA. Ni hali ya kusikitisha kwamba Usanii wa wizara hii uko nchi nzima. Ni utawala wa kubembelezana na kujisifu rangi yangu nyeupe! macho yangu yamelegea!

Taarifa za mitaani ni kwamba wafanyakazi wa MORUWASA wanafunga mabomba na badala yake maji hayo yanauzwa kwa kutumia magari ya waajiliwa hawa. Ikifika Usiku milima yote inawaka moto. Ni uchomaji kila kona ya mji. Aibu ni kwamba Mkuu wa mkoa yupo! Mkuu wa wilaya yupo! Nini thamani ya kuwa na viogozi wa ngazi hizi? Nini kazi zao za kila siku?
Kajifunze kwanza tofauti ya r na l ndiyo uje hapa.
 
Sehemu kubwa ya mji tuseme ina mgao wa maji. Mji maarufu kama morogoro halafu maji yanatoka mara moja kwa wiki kweli
Dah mambo ya ajabu sana basi! Kipindi nakua maji yalikuwa ni 24/7 yako bombani na ni hapo mazimbu ndipo nilikuwa naishi!

Mgao ulikuwa wa umeme tu ila maji sijawahi ona! Nilikuwa nashangaa nikija Dsm eti maji yanatoka once per week
 
Dah mambo ya ajabu sana basi! Kipindi nakua maji yalikuwa ni 24/7 yako bombani na ni hapo mazimbu ndipo nilikuwa naishi!

Mgao ulikuwa wa umeme tu ila maji sijawahi ona! Nilikuwa nashangaa nikija Dsm eti maji yanatoka once per week
Sasa mambo yamebadilika. Zamani watu walikua wachache maji yalitosha lakin sasa watu ni wengi mji umetanuka lakini wao bado wana miundo mbinu ya zamani inashindwa ku-accommodate watu wengi. Badala watafute solution wamerelax tu maofisini mwao
 
Niko hapa Morogoro najaribu kutafuta raha itokanayo na huyu anayeitwa Samia. Yaani eti mji mzima una matatizo ya maji. Ajabu ni Wafanyakazi wa MORUWASA ndo wafanyabiashara ya maji.

Nimejiajili na kuanza kuwa mwandishi wa habari za uchunguzi; kuna magari zaidi ya 50 yakizunguka majumbani kuuza maji, yanayotoka kwenye matenki ya MORUWASA. Ni hali ya kusikitisha kwamba Usanii wa wizara hii uko nchi nzima. Ni utawala wa kubembelezana na kujisifu rangi yangu nyeupe! macho yangu yamelegea!

Taarifa za mitaani ni kwamba wafanyakazi wa MORUWASA wanafunga mabomba na badala yake maji hayo yanauzwa kwa kutumia magari ya waajiliwa hawa. Ikifika Usiku milima yote inawaka moto. Ni uchomaji kila kona ya mji. Aibu ni kwamba Mkuu wa mkoa yupo! Mkuu wa wilaya yupo! Nini thamani ya kuwa na viogozi wa ngazi hizi? Nini kazi zao za kila siku?
Unaandika kama unakunwa hivi,matatizo ya maji yameletwa na mh.Rais? Au yameanza miezi 6 baada ya yeye kuwa Rais? Acha upumbavu wako na chuki.

Baada ya huo utangulizi ni kwamba Serikali iko mbioni kupanua kiwango cha upatikanaji wa maji hapo Moro,taratibu za manunuzi zinaendelea kwa hiyo ni jambo la kuvuta subira..

Samia hajawahi lala usingizie hadi kila Mtanzania apate maji ya uhakika 👇

Screenshot_20211013-092523.png


Screenshot_20211013-091749.png


Screenshot_20211013-092113.png
 
Mbongo yuko radhi aharibu miundombinu ya billion 100 ili apate fida binafsi ya mils 5, kiongoz anakuwa tayari kuuza mali ya nchi ya bils 500 ili apewe v8 na mtoto wake asome nje.

Hizi ndizo akili zetu
Hili haliwezekani na sio rahisi kihivyo kwa sababu atakeyethubutu kufanya hivyo na ni mtumishi atakuwa anataka kufia jela.

Hao wanauza pengine kwa sababu kuna upungufu mkubwa ambao tiba yake ni serikali kutoa pesa,kwa mantiki hiyo hawazuiwi kuchangamkia fursa.

Serikali haijalala imeweka mipango na mipango yenyewe ni hii hapa 👇

Screenshot_20211013-092523.png


Screenshot_20211013-092113.png


Screenshot_20211013-091749.png
 
Waziri wa maji kazi yake ni kuzunguka na kupiga picha na mabomba pamoja na matank daily huku matatizo yakiwe palepale, kati ya wizara zinazohitaji reformation ni hii ya maji
Acha kuwa na nongwa na Waziri mchapa kazai,tukupe wewe utaweza?
 
Just imagine Moro kuna vyanzo vingi vya maji lakini wanachi wake wanaweza kosa maji hata wiki nzima

Halafu kitaa magari ya idara sijui wafanyakazo binafsi wanauza maji .

AWESO shtuka hao morowasa wakazie moja kati idara mbovu mbovu Sana hapa nchi
Rais ametoa pesa za kununulia mitambo ya kuchimbia maji,kwa hiyo vuteni subira..

Kana kwamba haitoshi mabilioni yametengwa kwa ajili ya MuRUWASA.👇

Screenshot_20211013-092523.png
 
Kwa kweli Mamla hi ya Moro ifunjwe Niko hap toka j mos mitaah ya kihonda. Hakuna maji Ni usanii mtu mji mzima watu wanatembe na vidumu na mikokoteni
 
Kwa kweli Mamla hi ya Moro ifunjwe Niko hap toka j mos mitaah ya kihonda. Hakuna maji Ni usanii mtu mji mzima watu wanatembe na vidumu na mikokoteni
Kama maji hayatoshi ndio ivunjwe? 😆😆.Ikivunjwa utapata maji?

Mnachekesha ishu ni kwamba mahitaji ni makubwa kuliko supply na Kwa mantiki hiyo mipango ya mda mfupi na mda mrefu iko kama unavyoona hapa chini 👇

Screenshot_20211013-092523.png


Screenshot_20211013-092113.png


Screenshot_20211013-091749.png
 
Back
Top Bottom