Ubongo wa mwanamke haupevuki

Ubongo wa mwanamke haupevuki

Maturity is not determine by age rather than responsibilities

Unaweza ukawa mwanaume wa miaka 40 au 50 lakini hujui wajibu wako upo upo tu watu kama hao tunawaweka kwenye kundi la watoto, mwanaume ambae mpaka umkumbushe wajibu wake katika familia

Na kuna watoto ambao they are below 18 ila they are responsible enought to take care of what evver aituations comwa their way

Maturity ya akili inapimwa na uwezo wa mtu kupambanua mambo na kufanya maamuzi especialy katika jambo linalohitaji maamuzi ya haraka

Unaposema wanawake akili zao hazipevuki sio kweli..mtu ambae akili yake haijapevuka ni mtoto mdogo ambae lazima kila kitu apewe mwongozo na ndio maana anitwa mtoro.labda ungesema yale madhaifu ya kimaumbile ambayo tumeumbwa nayo kama kuonhozwa na emotions to which is nature



Sent using Jamii Forums mobile app
Yes! Hii ndio ya kuongea. Sio eti akili za mwanamke hazijapevuka!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww dada unaongea pumba kweli
Acha upumbavu weye! Sasa hao viongozi wa dini hawatakiwi kuheshimu hayo maandiko matakatifu ya dini wanazoziongoza? Au kwa kuwa akili zao ZIMEPEVUKA wanaruhusiwa kuyadharau na kufanya watakavyo kulawiti watoto wa kiume na kuangalia pembeni pale kwenye maovu chungu nzima. Kwanini wahubiri maneno matakatifu kwa waumini wao wakati wao wenyewe wanafanya tofauti? Akili zao ZIMEPEVUKA siyo. Akili za wapi hizi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough

Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu waweza kuwa mfano wa matokeo ya huo utafiti.
 
una mke ambae analea watoto wako

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio watoto wetu mume na mke
Wamekuwa watoto wako wa mume pekee kweli haijapevuka haha

Majukumu ya mke na mume yapo na nikawaida katika jamii hiyo kujitetea kwa kukaa au kulea mtoto au kubeba mimba ni wajibu kwa mwanamke kama ilivyowajibu kwa mwanaume kuhakikisha familia inapata mahitaji yote muhimu

Nakumbuka jirani yangu alikuwa na watoto wa kike watatu wenye umri wa miaka 18, 22, 24 na mtoto wa kiume mwenye miaka 12 siku moja kila akisafiri humuita huyu wa kiume na kumuambia nakuachia nyumba uilinde
Watoto wakike wakamlaumu baba kwa kumuona dogo ndiye aaminiwaye

Siku moja wakati baba yusafarini vibaka wakaja usiku wa saa 8 kuvunja mlango dogo aliposikia akaenda jibanza nyuma ya mlango wa nje akafungua kidogo mlango vibaka alipougonga kwateke mlango ukafunguka vibaka wakanyoosha vyumbani na sebuleni dogo akatoka fasta kupiga kelele za mwizi majirani tukatoka kutoa msaada vibaka wawili wakakimbia mmoja tukamnasa wakati dada zake wamejificha mvungu
Huu utafiti kwa tukio hili naweza unga mkono
 
Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Sent using Jamii Forums mobile app


Duh sasa mbona kama umetoa povu kuasi
 
kwamba biblia iliposema"
1 Petro 3:7 Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; " labda ni kutokana na ubongo wao kutopevuka
 
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Wanajiona wana akili sana kumbe ndiyo maana wanachunwa halafu wanakuja kulalamika.
 
Ni kweli kabisa ubongo wa mwanamke huchelewa kupevuka na hii ni nature na ukitaka kuprove fanya simple research kama nyumbani una watoto act kama una wanunulia zawadi kama nguo au chochote kile watoto ambao amewazaa mwenyewe mara kwa mara alafu yeye usimnunulie licha ya kwamba anafanya kazi anaingiza kipato lakini bado mwanamke atamaindi ili ku balance equation kwA sababu bongo zao hazijatofautiana sana na watoto inabidi mwanaume utumie akili ajione ume mtreat equally na wanawe. note: TUNAPOZUNGUMZIA UBONGO WA MWANAMKE UNACHELEWA KUPEVUKA HAIMAIMANISHI HAWAWEZI KUTIMIZA MAJUKUMU YAO WANAWEZA SANA TENA SANA. ISIPOKUWA NI KATIKA MAMBO FLANI FLANI YA KIMAAMUZI AMBAYO WAKISIMAMA WAO KAMA WAO BILA MWANAUME YANAWEZA LETA GREAT CONTROVANCY
 
Back
Top Bottom