ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,002
Kabisa tenaMtoto ndo kila kitu, yani itokee hatari the first thung ni watoto mume atambambana kivyake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa tenaMtoto ndo kila kitu, yani itokee hatari the first thung ni watoto mume atambambana kivyake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata iwe ndoa ya mawinguni mwanangu KwanzaNi kweli... Ukijua maana ya ndoa utajua nan ana thamani zaidi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hata iwe ndoa ya mwezini, wanawake wote ndio nature yetu, hatuwezi kuacha mtoto,
Nani aliyekwambia nina mke? Acha kujifanya unanifahamu. Kwani wanaume hawacheat? Asiyepevuka kiakili hawezi kuzifanya kazi tena wakati mwingine kwa ufanisi mkubwa kuliko ME udaktari, uhandisi, uhasibu etc na wengine wanaziongoza hata nchi zao tena vizuri tu.
Acheni kuja humu na dhana zenu potofu za kuwadharau na kuwadhalilisha wanawake.
Sasa huyo Adam aliyepevuka kiakili ikawaje tena akubali ushauri wa mwenye akili isiyopevuka na kula tunda?
Ondoeni vichwani mwenu mawazo ya mwaka 47.
ivi watoto utaishi nao mpk kufa? Watoto wataoa na kuolewa lakini utabaki na mume wako... Jifunze kuwa na mawazo sahihiYaani hata iwe ndoa ya mwezini, wanawake wote ndio nature yetu, hatuwezi kuacha mtoto,
Ila wanaume wao wenye upeo mkubwa na akili zinazopevuka ikitokea hatari yuko radhi aokoe mchepuko amwache mtoto anatekekea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama wataolewa ila bado ni watoto, ni damu yangu, uchungu nikio nao kwao hauwezi kufanana na uchungu nikio nao kwa mume ambae hata undugu nae sina, unamuokoa mume halafu kesho na kesho kutwa anakuacha anaoa mwingine, ila your kids will stand by your side forever no matter what and mothers always stand by their kinds hata kama dunia nzima ikirudi nyumaivi watoto utaishi nao mpk kufa? Watoto wataoa na kuolewa lakini utabaki na mume wako... Jifunze kuwa na mawazo sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni wanaume wangapi waliotelekeza familia zao?mtot Kwanzaivi watoto utaishi nao mpk kufa? Watoto wataoa na kuolewa lakini utabaki na mume wako... Jifunze kuwa na mawazo sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina la kuongeza Mkuu.Maana Ni SUMARI LA MOTO NDANI YA DONDA NDUGU!Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha viongozi wa "dini" na "maandiko matakatifu" mkuu! Naomba uelewe kwamba "Dini" haina uhusiano na "maandiko matakatifu",so automatically viongozi wa "dini" hawana uhusiano na "maandiko matakatifu." Mwisho kumbuka kwamba si kila yanoyoitwa "maandiko matakatifu" kweli ni matakatifu.Mwenye akili atanielewa.Vitabu vya dini ambao hao viongozi wa dini wanaingilia kinyume cha maumbile watoto wa kiume na kufanya juu chini kuficha maovu yao kwa sababu wao akili zao ZIMEPEVUKA na si viumbe DHAIFU! Toa UPUUZI WAKO HAPA!
Weekend hii wametuandama sana sijui kuna nini au hasira za mpira wanatuangushia sisiSina la kuongeza Mkuu.Maana Ni SUMARI LA MOTO NDANI YA DONDA NDUGU!
Katika Hili nitasimama na WANAWAKE,siwezi ona eti Mama yangu AKILI yake haipevuki wakati alituzaa mapacha 4 kwa Mara moja, baba ilipofariki tukiwa bado wadogo mama alidhumulumiwa kila kitu na ndugu wa baba lakini KWA UPEVU WA AKILI ALIOJAALIWA HAKUTUACHA WANAE TULIPOKUWA NA NJAA ALITULISHA,ALITUVISHA,TULIPO UGUA TULITIBIWA ,TULIPO HITAJI ELIMU ALIHAKIKISHA TUNAIPATA VEMA hakuthubutu kutafuta mchepuko ili atutunze!! Mleta mada akajitafakari UPYA!!! HAKUNA KAMA MAMA UOEVU WA AKILI YA MWANAMKE,MWANAMUME HAUFIKII ASILAN!Weekend hii wametuandama sana sijui kuna nini au hasira za mpira wanatuangushia sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Usione pevuka Ni ubongo wako mkuihivi Kati ya ubongo wa MWANAMUME na MWANAMKE ubongo wa wanani Ni sawa na wa kuku?Kwa mujibu wa uchunguzi wanasayansi kutoka Marekani, "UBONGO WA BINADAMU(ME) UNA UWEZO WA KUTOA MAAMUZI YA BUSARA/SAHIHI KWA ASILIMIA KUBWA PALE ANAPO FIKISHA UMRI WA MIAKA 25"
Hali hii inaweza kuchelewa mpaka kufikia umri wa miaka 35 kwa wanaume, Na kwa wanawake asilimia 85 huishi adi kufikia uzee bila kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa muda sahihi!
Kwa lugha rahisi inasemekana "The woman's brain never matures"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah pole huo ni utatafitiKatika Hili nitasimama na WANAWAKE,siwezi ona eti Mama yangu AKILI yake haipevuki wakati alituzaa mapacha 4 kwa Mara moja, baba ilipofariki tukiwa bado wadogo mama alidhumulumiwa kila kitu na ndugu wa baba lakini KWA UPEVU WA AKILI ALIOJAALIWA HAKUTUACHA WANAE TULIPOKUWA NA NJAA ALITULISHA,ALITUVISHA,TULIPO UGUA TULITIBIWA ,TULIPO HITAJI ELIMU ALIHAKIKISHA TUNAIPATA VEMA hakuthubutu kutafuta mchepuko ili atutunze!! Mleta mada akajitafakari UPYA!!! HAKUNA KAMA MAMA UOEVU WA AKILI YA MWANAMKE,MWANAMUME HAUFIKII ASILAN!
Hamna mwenye ubongo sawa na kuku! ila mwanaume ana mzidi mwanamke... Nd maana kichwa cha familia ni baba.... Mwenye maamuzi ya mwisho ni babaHou
Usione pevuka Ni ubongo wako mkuihivi Kati ya ubongo wa MWANAMUME na MWANAMKE ubongo wa wanani Ni sawa na wa kuku?
Tofautisha viongozi wa "dini" na "maandiko matakatifu" mkuu! Naomba uelewe kwamba "Dini" haina uhusiano na "maandiko matakatifu",so automatically viongozi wa "dini" hawana uhusiano na "maandiko matakatifu." Mwisho kumbuka kwamba si kila yanoyoitwa "maandiko matakatifu" kweli ni matakatifu.Mwenye akili atanielewa.
Mkuu unapigania usichokijua.Sijui kama unajua kwamba kitu unachokitetea ni mpango wa kishetani wa kuiharibu kabisa familia kama tunavyoijua leo, ili Shetani aweze kuitawala dunia.Kwa bahati mbaya this time around, again,mwanamke anatumiwa na Shetani kufanya uovu huo.It seems women have not learnt anything from their mistakes in the garden of Eden.Sikiliza kitu hiki cha kutisha kabisa ambacho Shetani anapanga kuwafanyia wanadamu kwa kutumia wanawake.Mpango huu upo kwenye hatua za juu sana za utekelezaji.Beijing,50/50 in politics,wanawake kuwezeshwa by various means is part of that evil plan.Nashangaa na wewe umo humo mkuu,get out,you are a disgrace to your fellow men.Vitabu vya dini ambao hao viongozi wa dini wanaingilia kinyume cha maumbile watoto wa kiume na kufanya juu chini kuficha maovu yao kwa sababu wao akili zao ZIMEPEVUKA na si viumbe DHAIFU! Toa UPUUZI WAKO HAPA!
Hongera sana Mkuu kwa kuwa na Free Thinking