Uyupo asilimia zoteMama yako aliyekuzaa katika kundi hilo yupo?? Au ulishushwa?? Unapokejeli wanawake lazima ujue mama yako yupo!!!!
Mimi nadhani Me na Ke tumeumbwa/tumewekwa pamoja ili ku-balance mapungufu yetu, kama mke hana ujasiri wa kufanya rational decisions/judgement, basi mume atasimama hapo, kama mume hana skills za malezi, mke atasimama nafasi hiyo.
Dunia hii hakuna jinsia iliyopewa uwezo wa kila kitu, mapungufu ya Me yanafunikwa na uwezo wa Ke and vice versa is true.
Limited mindIngekua uzi wangu, ningewaomba Mods ufungiwe comments tena maana yours has closed the topic!
*#Life= Darkness 》 Light, Right 》 Left, Male 》Female
We all need each other to exist hakuna zaidi ya mwenzie kati ya Me & Ke, just perception!
Hapa pia umeonyesha kuwa kweli ubongo wenu haupevuki,umeongea pumba tupu,sikulaumu lakini,maana ukipata akili means hautokuwa mwanamke tena...you will be a man,so be how you are..idiot!Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekua uzi wangu, ningewaomba Mods ufungiwe comments tena maana yours has closed the topic!
*#Life= Darkness 》 Light, Right 》 Left, Male 》Female
We all need each other to exist hakuna zaidi ya mwenzie kati ya Me & Ke, just perception!



Mkuu tuna hulka ya kuona jinsia moja ipo juu ya nyingine, tusijue kuwa tupo ili ku-balance.
Hapa pia umeonyesha kuwa kweli ubongo wenu haupevuki,umeongea pumba tupu,sikulaumu lakini,maana ukipata akili means hautokuwa mwanamke tena...you will be a man,so be how you are..idiot!
Unajua kuna watu wana reasoning capacity ndogo sana, sasa hata kama ni utafiti yeye ameshindwa kuulinganisha na hali halisi ya maisha na majukumu ya mwanamke, anakurupuka tu kuanzisha uziSasa ikawaje akapewa majukumu mazito hivyo kama akili yake haipevuki? Kwanini asipewe mwanaume ambaye akili yake inapevuka?
Wewe kama ni boss ofisini kwako unaweza kumpa mtu kazi yako akufanyie wakati unajua fika huyu hana uwezo wa kuifanya?
Umekaa huko ukajisikia tu kudhalilisha wanawake ili wajione wao sio kitu ukaja na hili bandiko lako la kipuuzi eti utafiti ni mtafiti gani anaweza kupoteza mda wake kwa jambo la kupuuzi kama hili. Watafiti wako bize huko wanatafuta solutions za kumaliza majanga yanayoikumba dunia kila siku.
Alafu nimegundua kitu, wanaume wasiojiamini waliozidiwa vitu vingi na wanawake ndo huwa wanakuja na mabandiko kama haya ili wajipooze mioyo yao kwa kuwashushwa wanawake. Pambana na haki yako baba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weweee nani kakwambia atachagua mtoto unaujua uchungu wa kuzaaMwanamke anaongozwa na hisia,
Mfano nyumba ikivamiwa alafu akiambiwa achague mmoja afe kati ya Mume au mtoto, kwa akili za mwanamke atachagua mtoto. Hawezi kumbuka huyo mtoto kaletwa na mwanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nlikuwa cjui ndo maana nkafungua uzi! Na nimedhibitisha ni kweli ! Asante kwa ushirikiano wenuUnajua kuna watu wana reasoning capacity ndogo sana, sasa hata kama ni utafiti yeye ameshindwa kuulinganisha na hali halisi ya maisha na majukumu ya mwanamke, anakurupuka tu kuanzisha uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli... Ukijua maana ya ndoa utajua nan ana thamani zaidi....
Ni kweli... Ukijua maana ya ndoa utajua nan ana thamani zaidi....
Sent using Jamii Forums mobile app