Ubongo wa mwanamke haupevuki

Ubongo wa mwanamke haupevuki

Una ufinyu wa akili weye tena mkubwa sana. Hivi wanaume wangapi duniani wameharibu familia zao lakini hilo hutaki kuliona? Kwa sababu wana akili ZILIZOPEVUKA?

Tia akili kichwani na uache kuandika upuuzi wa kuwadharau na kuwadhalilisha wanawake kwa mambo yale yale ambayo wanaume chungu nzima wanayafanya kwa miaka mingi tu.

Mkuu unapigania usichokijua.Sijui kama unajua kwamba kitu unachokitetea ni mpango wa kishetani wa kuiharibu kabisa familia kama tunavyoijua ili Shetani aweze kuitawala dunia.Kwa bahati mbaya this time around kwa Mara nyingine tena anamtumia mwanamke kufanya kazi hivyo.It seems the women have not learnt anything.Sikiliza kitu hili cha kutisha kabisa.


 
Katika Hili nitasimama na WANAWAKE,siwezi ona eti Mama yangu AKILI yake haipevuki wakati alituzaa mapacha 4 kwa Mara moja, baba ilipofariki tukiwa bado wadogo mama alidhumulumiwa kila kitu na ndugu wa baba lakini KWA UPEVU WA AKILI ALIOJAALIWA HAKUTUACHA WANAE TULIPOKUWA NA NJAA ALITULISHA,ALITUVISHA,TULIPO UGUA TULITIBIWA ,TULIPO HITAJI ELIMU ALIHAKIKISHA TUNAIPATA VEMA hakuthubutu kutafuta mchepuko ili atutunze!! Mleta mada akajitafakari UPYA!!! HAKUNA KAMA MAMA UOEVU WA AKILI YA MWANAMKE,MWANAMUME HAUFIKII ASILAN!
Thats what i was talking about, dunia nzima i aweza kukukimbia ila mama will always stand by your side...yuko tayari kupoteza kila kitu ila sio watoto wake

Hapo angekua ni mwanaume angeshaoa mke mwingine na watoti wangetunzwa na mama wa kambo tena kwa manyanyaso

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upumbavu weye! Sasa hao viongozi wa dini hawatakiwi kuheshimu hayo maandiko matakatifu ya dini wanazoziongoza? Au kwa kuwa akili zao ZIMEPEVUKA wanaruhusiwa kuyadharau na kufanya watakavyo kulawiti watoto wa kiume na kuangalia pembeni pale kwenye maovu chungu nzima. Kwanini wahubiri maneno matakatifu kwa waumini wao wakati wao wenyewe wanafanya tofauti? Akili zao ZIMEPEVUKA siyo. Akili za wapi hizi? 😳
Ninayoongea yako juu sana ya ufahamu wako,huwezi kunielewa.
 
Una ufinyu wa akili weye tena mkubwa sana. Hivi wanaume wangapi duniani wameharibu familia zao lakini hilo hutaki kuliona? Kwa sababu wana akili ZILIZOPEVUKA?

Tia akili kichwani na uache kuandika upuuzi wa kuwadharau na kuwadhalilisha wanawake kwa mambo yale yale ambayo wanaume chungu nzima wanayafanya kwa miaka mingi tu.
BAK usibishane na huyo...tatizo lake anaonekana ni mtoto wa mtaani..hajapata malezi ya mama huyo ndio maana, amepata malezi ya walimwengu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough

Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu ww hujamuelewa alie fanya utafiti ndio maana amesema hampo machure , kwa hili pia bado hujawa machure pia, kwan kasema ni asilimia 85, mm mke wangu na mama angu hawapo kwenye hizo asilimia kwa kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu ww hujamuelewa alie fanya utafiti ndio maana amesema hampo machure , kwa hili pia bado hujawa machure pia, kwan kasema ni asilimia 85, mm mke wangu na mama angu hawapo kwenye hizo asilimia kwa kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
Maturity is not determine by age rather than responsibilities

Unaweza ukawa mwanaume wa miaka 40 au 50 lakini hujui wajibu wako upo upo tu watu kama hao tunawaweka kwenye kundi la watoto, mwanaume ambae mpaka umkumbushe wajibu wake katika familia

Na kuna watoto ambao they are below 18 ila they are responsible enought to take care of what evver aituations comwa their way

Maturity ya akili inapimwa na uwezo wa mtu kupambanua mambo na kufanya maamuzi especialy katika jambo linalohitaji maamuzi ya haraka

Unaposema wanawake akili zao hazipevuki sio kweli..mtu ambae akili yake haijapevuka ni mtoto mdogo ambae lazima kila kitu apewe mwongozo na ndio maana anitwa mtoro.labda ungesema yale madhaifu ya kimaumbile ambayo tumeumbwa nayo kama kuonhozwa na emotions to which is nature



Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Possibly kama sio wa mtaani basi amelelewa na strangers ambao hawawezi kumpa mapenzi kama ambayo angeyapata kwa mama

Na mtu wa namna hiyo hawezi kumpenda mke au kuwaheshimu wanawake atakua anawamdharau

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo baba hawezi kumlea mtu... Naona unakwepa kwepa et strangers

Tatizo una panic sana na hilo halibadilishi ukweli

Nyie mmetoka ubavuni hamuwez kuwa sawa na wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah mwanaume ni mwanaume na sisi ni wasaidizi wenu..ila hiyo haitufanyi kuwa hatuna akili au akili zetu hazipevuki...Mungu ameumba kwa utashi wake na mwanaume ameumbwa kuwa kichwa na kiongozi wa familia huku mke akiwa msaidizi..maana ya msaidizi ni mtu aneweza kufanya yale ambayo wewe huwezi au anaweza kufanya baadhi ya mambo kwa niaba yako au mnaweza kushirikiana kufanya maisha yakawa mepesi

Kwa maana hiyo kuna mambo ambayo sisi wanawake kwa nature yetu hatuwezi kufanya bila mwanaume na vice versa is true

Life becomes perfect pale ambapo mume anajaziliza mapungufu ya mke na mke nae anabeba mapungugu ya Mume

Siamini kama Mungu anaweza kukupa msaidizi ambae fikra zake hazipevuki...huyo atakua sio msaidizi bali mzigo
Kwaiyo baba hawezi kumlea mtu... Naona unakwepa kwepa et strangers

Tatizo una panic sana na hilo halibadilishi ukweli

Nyie mmetoka ubavuni hamuwez kuwa sawa na wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👍🏽

Yeah mwanaume ni mwanaume na sisi ni wasaidizi wenu..ila hiyo haitufanyi kuwa hatuna akili au akili zetu hazipevuki...Mungu ameumba kwa utashi wake na mwanaume ameumbwa kuwa kichwa na kiongozi wa familia huku mke akiwa msaidizi..maana ya msaidizi ni mtu aneweza kufanya yale ambayo wewe huwezi au anaweza kufanya baadhi ya mambo kwa niaba yako au mnaweza kushirikiana kufanya maisha yakawa mepesi

Kwa maana hiyo kuna mambo ambayo sisi wanawake kwa nature yetu hatuwezi kufanya bila mwanaume na vice versa is true

Life becomes perfect pale ambapo mume anajaziliza mapungufu ya mke na mke nae anabeba mapungugu ya Mume

Siamini kama Mungu anaweza kukupa msaidizi ambae fikra zake hazipevuki...huyo atakua sio msaidizi bali mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo unakuta mtoa Mada hajawahi kuishi na mwanamke either Mke au Mama yake then akaona power ya mwanamke
Aisee Mwanamke ana power kubwa sana ni zaidi ya akili za kwenye ubongo
Why do you glorify women so much.They are not special in any way,infact we men are unique in some very key areas. Yes,they have some strengths in some areas,that is why we have to complement each other.
You can follow the following link for more information on this subject.


https://www.psychologytoday.com/us/blog/hope-relationships/201402/brain-differences-between-genders
 
Why do you glorify women so much.They are not special in any way,infact we men are unique in some very key areas. Yes,they have some strengths in some areas,but we man are unique in some very important areas.That is why we have to complement each other.
You can follow the following link for more information on this subject.


https://www.psychologytoday.com/us/blog/hope-relationships/201402/brain-differences-between-genders
Ok

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough

Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Ningefurahi Kama ungejibu hoja kwa utafiti.
Vinginevyo Ni povu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom