BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Kwa akili yako fupi. Mie nasimamia ukweli siku zote lakini juha wewe utaufumbia macho ukweli ili tu kuendelea kujaza upuuzi wako kichwani.
Ulichokiandika kinadhihirisha dhahiri ulivyo punguani!Kwa mujibu wa uchunguzi wanasayansi kutoka Marekani, "UBONGO WA BINADAMU(ME) UNA UWEZO WA KUTOA MAAMUZI YA BUSARA/SAHIHI KWA ASILIMIA KUBWA PALE ANAPO FIKISHA UMRI WA MIAKA 25"
Hali hii inaweza kuchelewa mpaka kufikia umri wa miaka 35 kwa wanaume, Na kwa wanawake asilimia 85 huishi adi kufikia uzee bila kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa muda sahihi!
Kwa lugha rahisi inasemekana "The woman's brain never matures"
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuuUlichokiandika kinadhihirisha dhahiri ulivyo punguani!
Kwa mujibu wa uchunguzi wanasayansi kutoka Marekani, "UBONGO WA BINADAMU(ME) UNA UWEZO WA KUTOA MAAMUZI YA BUSARA/SAHIHI KWA ASILIMIA KUBWA PALE ANAPO FIKISHA UMRI WA MIAKA 25"
Hali hii inaweza kuchelewa mpaka kufikia umri wa miaka 35 kwa wanaume, Na kwa wanawake asilimia 85 huishi adi kufikia uzee bila kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa muda sahihi!
Kwa lugha rahisi inasemekana "The woman's brain never matures"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika! Huyo mtafiti wao uchwara akojoe akalale! Bado hajawajua wanawake vizuri.Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tafiti pia imeonyesha mtoto hufuata akili za mama. Wale wanaooa chura imekula kwao. Hata baba akiwa genious kama mama ana akili kama zangu sahau academic achievements.
Mwanamke angekuwa na akili nyingi....wanaume tungepata taabu sana...na duniani pangekuwa si mahali safi kwetu....
Mama yako aliyekuzaa katika kundi hilo yupo?? Au ulishushwa?? Unapokejeli wanawake lazima ujue mama yako yupo!!!!Kwa mujibu wa uchunguzi wanasayansi kutoka Marekani, "UBONGO WA BINADAMU(ME) UNA UWEZO WA KUTOA MAAMUZI YA BUSARA/SAHIHI KWA ASILIMIA KUBWA PALE ANAPO FIKISHA UMRI WA MIAKA 25"
Hali hii inaweza kuchelewa mpaka kufikia umri wa miaka 35 kwa wanaume, Na kwa wanawake asilimia 85 huishi adi kufikia uzee bila kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa muda sahihi!
Kwa lugha rahisi inasemekana "The woman's brain never matures"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuunga mkono. Naona huyu kafanya utafiti kupitia mama, bibi, shangazi, dada zake wote ndo kaja na hii conclusion.Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata watoto wanaweza kulea watoto mkuu, utafiti hupingwa kwa tafiti nadhani mpaka hapa bado hujatafiti.Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Dear Mtende, how are things?Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama nanii, umeongea kwa hisia sana! Akina mama mnapitia makubwa!Wewe utachagua nani? Unajua maumivu tunayoyapitia labor wewe? Basi ungekua umeyaexperience nadhani u geelewa kwa nini mtoto ni kila kitu kwa mwanamke
Kwa situation kama hiyo mwanaume anaweza kupambana akajitetea, huyu mtoto mdogo asiejiweza nani atamteyea kama sio mama
Ikibidi hata uhai wangu ukatishwe kwa ajili ya kumuokoa mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaMm wananichosha tu kwenye kuchelewa kila sehem. Hata kwenye kukata kiu, Unapiga mpk goli 3. eti yy hasikii hujamuandaacjui wakiwaga faragha wanavuliwa nguo hua wanajua ni kuogelea ?
Sent using Jamii Forums mobile app