Kwahiyo hiyo CH haina tofauti na Twitter spaces ?Salaam,
Kuna hii App mpya ya ClubHouse ambayo imeanza kushika kasi ya watumiaji wengi bapa nchini na Duniani kwa ujumla, nadhani baadhi yetu tunaifahamu.
Kweli wewe nimekubali Ni geniusIntroduction
Content
- Clubhouse ni nini?
- CH inafanya nini na kwaajili ya watu gani?
- etc..
Hitimisho
- Hawa vijana wanakosea nini?
- Attachment
- etc
Asante.
- Nini wamiliki wa CH wafanye?
- Nini serikali ya Tanzania ifanye?
- Nini sisi wana JF tufanye? Ili kuwasaidia hawa vijana.
Tuko pamoja mzeeKweli nimezeeka.
tuambie kwanza Club house ni nini? inamilikiwa na nani ? ukianza tu kulalamika kwa watumiaji wa iyo CH hata mi nitakuona nawe ni tatizo kubwaSalaam,
Kuna hii App mpya ya ClubHouse ambayo imeanza kushika kasi ya watumiaji wengi bapa nchini na Duniani kwa ujumla, nadhani baadhi yetu tunaifahamu.
Sasa kuna kitu ninachokiona kwa watumiaji wengi wa Kibongo ni Ubishoo uliopitiliza kama ule wa enzi za BBM pamoja na ushamba wa kitu Kipya.
Ndani ya Club House kila mtu Mzungu. Nimeona hadi ClubHouse Party inaandaliwa ambayo kuna wenyewe wanaodhani Club House ni ya "Watu" flani hivi.
Wabongo tuache ushamba na ulimbukeni, ClubHouse is just an audio Chat Platform for everyone hata wa Kijijini inawafaa pia.
Ni platform nzuri sana kwa vijana iwapo itatumika kuendesha mijadala/dialogue za Maana na sio ubishoo wa kujifanya Rich Class wakati ni Broke.
Naomba kuwasilisha.
🔨🔨🔨nyundo tatu za kukaziaIntroduction
Content
- Clubhouse ni nini?
- CH inafanya nini na kwaajili ya watu gani?
- etc..
Hitimisho
- Hawa vijana wanakosea nini?
- Attachment
- etc
Asante.
- Nini wamiliki wa CH wafanye?
- Nini serikali ya Tanzania ifanye?
- Nini sisi wana JF tufanye? Ili kuwasaidia hawa vijana.