mchizzy
Member
- Jun 27, 2023
- 31
- 19
Nimekaa nimefikilia kunavitu huwa nachanganya kati ya USHAMBA na ULIMBUKENI naombeni wakuu mnipe maana hizo kwa mifano, nasema Ivo kwa sababu kuna manzi mmoja tulikuwa na appointment tutoke twende club lakini dress alizo vaa duu Kama anaenda kitchen part nikajiuliza sasa huu ni USHAMBA au ni nini aisee nilichoka
karibuni
karibuni