Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,431
- 5,132
Salaam,
Kuna hii App mpya ya ClubHouse ambayo imeanza kushika kasi ya watumiaji wengi bapa nchini na Duniani kwa ujumla, nadhani baadhi yetu tunaifahamu.
Sasa kuna kitu ninachokiona kwa watumiaji wengi wa Kibongo ni Ubishoo uliopitiliza kama ule wa enzi za BBM pamoja na ushamba wa kitu Kipya.
Ndani ya Club House kila mtu Mzungu. Nimeona hadi ClubHouse Party inaandaliwa ambayo kuna wenyewe wanaodhani Club House ni ya "Watu" flani hivi.
Wabongo tuache ushamba na ulimbukeni, ClubHouse is just an audio Chat Platform for everyone hata wa Kijijini inawafaa pia.
Ni platform nzuri sana kwa vijana iwapo itatumika kuendesha mijadala/dialogue za Maana na sio ubishoo wa kujifanya Rich Class wakati ni Broke.
Naomba kuwasilisha.
Kuna hii App mpya ya ClubHouse ambayo imeanza kushika kasi ya watumiaji wengi bapa nchini na Duniani kwa ujumla, nadhani baadhi yetu tunaifahamu.
Sasa kuna kitu ninachokiona kwa watumiaji wengi wa Kibongo ni Ubishoo uliopitiliza kama ule wa enzi za BBM pamoja na ushamba wa kitu Kipya.
Ndani ya Club House kila mtu Mzungu. Nimeona hadi ClubHouse Party inaandaliwa ambayo kuna wenyewe wanaodhani Club House ni ya "Watu" flani hivi.
Wabongo tuache ushamba na ulimbukeni, ClubHouse is just an audio Chat Platform for everyone hata wa Kijijini inawafaa pia.
Ni platform nzuri sana kwa vijana iwapo itatumika kuendesha mijadala/dialogue za Maana na sio ubishoo wa kujifanya Rich Class wakati ni Broke.
Naomba kuwasilisha.