Uber wanacheza na maisha ya vijana wetu, wakirudi serikali tunaomba muwachunguze pls na mlinde maslahi ya vijana wetu

Uber wanacheza na maisha ya vijana wetu, wakirudi serikali tunaomba muwachunguze pls na mlinde maslahi ya vijana wetu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Hii kampuni ilikuwa ya kwanza kuingia tanzania

Baada ya muda wakaja bolt lakini kabla ya hapo ilisemekana wameweka maagizo akiruhusiwa mwingine wanaondoka

Hata hivyo inaonekana mawazo yao yakikuwa ya kipuuzi na kijinga

wakaruhusiwa bolt

Baada ya kuruhusiwa bolt, uber wakaanza kulalamika bolt wanapendelewa ooh bolt wanaua biashara na kelele kadhaa

Wakiwa ktk kukaa waangalie shida iko wapi hawa wahuni wakaondoka

Bolt ikaendelea wakaaja na wengine wengi sijui farasi punda nk bolt wamooo

Uber wakaona jamaa wanadunda wakaaja tena wameenda sasa wameandika barua tena wanaondoka

Hivi mnajua wakati walipoondoka waliacha vijana wangapi bila kazi

Je, walipata haki zao zote nssf pssf nk

Ok nw wanaondoka tena mnajua madhara ya vijana na wazee wangapi kukosa kazi na wana familia wapendwa wana watoto wanasoma shule

Maombi yangu kwa Mungu awasaidie sana sana mfanikiwe ktk shughuli zenu baada ya kuondoka hii kampuni

Tunaomba serikali wakiiruhusu wawape na masharti ya kulinda ajira za vijana wetu

Wajue ajira sio dawa ya ujana kila mtu ananunua anatumia
 
Kwahiyo wanataka kurudi tena mkuu? Au walisharudi tena na wanataka tena kuondoka?
 
Uber kibiashara kazidiwa sana kibiashara na Bolt yaani walikua wamebakia kwenye gari tuuu boda boda karibia zote ziko Bolt
 
Back
Top Bottom