bakuza
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 490
- 100
1. Process ya kidemokrasia ingekuwa kivipi kwa mfano? ambayo unafikiri haitakuwa ya kidikteta??
2. Zanzibar kupewa nafasi kubwa inainyima vipi Tanganyika haki zipi? kwa mfano??? lipi Tanganyika itaikosa??
3. Nimesema tukiacha malumbano ya kusomwa mara ya kwanza na ya pili maana nataka nifahamu tatizo la muswada kama ulivyo una shida gani kwa wananchi kupata katiba nzuri??
nadhani una mtindio kwa maana nyingine Topical afya ya ubongo wako ina shida.