Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

Hivi upstair kwako kuko vizuri kweli?
Marekani ndio inaongoza kwa kuwa na case nyingi sasa hivi.

Nikupe ukweli:
Marekani anaona Serikali yetu haipo serious.
Inadanganya data na hakuna step yoyote inayochukuliwa.
Kwa hio wameshaona kuwa hili dude litakuja kuua watu hapa hadi kila mtu atashangaa
Serikali imejua covid ni dhaifu kwenye joto Kali + black people hivyo hakuna mmarekani mwenye akili atakaye kubali kwenda kwao USA maana wamarekani wanajua faida ya joto kwa korona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
akili zingine za kijinga sana. Marekani haisemi kwamba kwao hakuna Corona. Wanachosema watu wao warudi kwao ambako itakuwa rahisi kuwahudumia.

wanaogopa mipaka ikifungwa na hali ikawa mbaya kwao wakiwa Tanzania itakuwa mgumu kuwasaidia.

wakati wa majanga unataka familia yako irudi nyumbani kwako ambako unaweza kuwasaidia.

Hivyo ndivyo nchi zinazojali watu wake hufanya.
Kwa habari yako hakuna mmarekani atakaye taka kuondoka tz kwenda marekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niendelee kulima matembele yangu hapa nyambitilwa, tuwaache wenye kwao marekani..
 
Hivi upstair kwako kuko vizuri kweli?
Marekani ndio inaongoza kwa kuwa na case nyingi sasa hivi.

Nikupe ukweli:
Marekani anaona Serikali yetu haipo serious.
Inadanganya data na hakuna step yoyote inayochukuliwa.
Kwa hio wameshaona kuwa hili dude litakuja kuua watu hapa hadi kila mtu atashangaa
Mbna hatujafa mkuu. Mbna tunawaona wazungu kma miungu..
Tutumie na ss akili zetu.
Kila mtu afate maisha yake
Marekani mpumbavu tu kunawatu kwake ni masikini huduma za public ni mbovu sema hawayatangazi kma kwetu huku.
Rushwa ipo kubwa mno kuliko yetu.
Omba omba wapo wengi tu huko.
I love tanzania japo tuna changamoto zetu haya ndo maisha
 
Hofu ya US juu watu wao waliopo Afrika siyo mambukizi kwa sababu mambukizi hata kwao yapo.

Hofu kubwa ni kuwa ukitokea mlipuko huku kwetu, hatuna uwezo wa kuwahudumia wagonjwa. Wao wenye facilities nyingi, hali imekuwa hivi, itakuwaje kwetu ambao hatuna Respiratory Ventilators hata kwenye hospitali zetu za rufaa?
Kwani hivyo vifaa vinauzwa sh ngapi kwanini msishauri serikali hivi nunue hata elfu 2000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbna hatujafa mkuu. Mbna tunawaona wazungu kma miungu..
Tutumie na ss akili zetu.
Kila mtu afate maisha yake
Marekani mpumbavu tu kunawatu kwake ni masikini huduma za public ni mbovu sema hawayatangazi kma kwetu huku.
Rushwa ipo kubwa mno kuliko yetu.
Omba omba wapo wengi tu huko.
I love tanzania japo tuna changamoto zetu haya ndo maisha
Nimesema Marekani anaona hivyo.
Sijasema kuwa nakubaliana na marekani.
Us ni mabeberu siwezi kuwa upande wao hata mara moja
 
K
Nimesema Marekani anaona hivyo.
Sijasema kuwa nakubaliana na marekani.
Us ni mabeberu siwezi kuwa upande wao hata mara moja
Siasa za kibepari ni mchezo mchafu sana, inahitaji akili nyingi sana kuwaelewa kwa kila jambo wanalofanya.
Ubaya ni kuwa kwa mtazamo wa nje kwakile wanachofanya huihadaa dunia kuwa ni jambo jema lkn nyuma ya pazia ni udharimu na maovu mengi tu
 
Wakati tunaendelea kumlilia Mungu usiku na mchana na kuchukua tahadhari zote, pia tuishi kwa imani na sio kwa hofu.

Kama unatumia kutwa nzima kusoma habari za Corona please wake up. Pata important updates mara moja au mbili from trusted sources kama W. H. O, that's it.

Kwenye nchi zetu za Africa ambako bado kuna movement take advantage of low prices on goods and services. Kama wewe mjanja na una nafasi you can make good money now. Uchumi siku zote ni Demand na Supply

Hii habari ya kuhubiriana kuhusu magari na majumba peke yake sasa hivi hakuna mtu anataka. Ile prophecy ili mtu awe millionaire, haina mashiko sasa tena. God is after your soul. Kama hatumsikii Mungu wa kweli sasa itakuwa vigumu sana kumsikia baada ya sasa.

Muda wa kutupa vinyago na sanamu tulizojitengezea. Muda wa kupenda uliowachukia tena bila sababu na ni muda wa kusafisha moyo na nyumba yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It is very true labda uwe ukusoma hata darasa la 4 ukufika ,kwa joto kama la dar MTU haki shika sehemu na kuacha virusi itachukua dakika chake virusi kufa baridi inausika kwaasilimia 80% kuipa nguvu covid

Sent using Jamii Forums mobile app
Are you serious?

Najua Virus wana kufa baadha ya 72 hours.
Kwenye plastic, metal etc. ila maximum ni 72 hrs.

Dude let me leave you alone.
KWa sababu unaleta stori za kahawa.
 
Hearsay. And its not true

AccuWeather, the US-based forecaster, quoted Dr John Nicholls, a pathology professor at the University of Hong Kong, saying there are three things coronavirus does not like: sunlight, temperature and humidity.

"Sunlight will cut the virus's ability to grow in half, so the half-life will be 2.5 minutes, and in the dark it's about 13 to 20 [minutes]. Sunlight is really good at killing viruses," Nicholls said.

Deutsche Welle also cited Thomas Pietschmann, a virologist from Germany's Centre for Experimental and Clinical Infection Research, who said the coronavirus is "not very heat-resistant, which means that the virus quickly breaks down when temperatures rise".
Heat and humidity
Meanwhile, Dr Abdul Ghafur, an infectious disease specialist based in the Indian city of Chennai, said compared to its population of 1.3 billion, the dozens of confirmed cases in India "is not a big number".

He said the heat and humidity in the country "could be one of the reasons" why coronavirus is not spreading faster in his country, as the weather limits the virus from travelling "longer or faster".

"It is not just the temperature that is killing in the warm climate, it is the humidity as well. The humidity reduces the transferability of the virus," he told Al Jazeera.



Will warmer weather slow the spread of coronavirus?
 
Wanaweweseka tu hao wamarekani..kinga ya huu ugonjwa sio kuukimbia..kwani kwao na hapa kwetu ni wapi kuna hatari zaidi na maambukizi zaidi?
 
Back
Top Bottom