Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,444
Inakuwaje ndani ya ndoa mtu na mme wake wanabakana?
Kama umesikiliza leo asubuhi BBC kuna sheria mpya inatungwa hapo kwa wakwe Uganda sheria ya ubakaji ndani ya ndoa yaani mmoja akinyimwa basi anaamua kumega kinguvu.
Hii wadau imekaaje mwanaume unammnyima mama chakula chake na mwanamke unamnyima baba chakula chake kwa nini sasa inakuwa hivi?
Kama umesikiliza leo asubuhi BBC kuna sheria mpya inatungwa hapo kwa wakwe Uganda sheria ya ubakaji ndani ya ndoa yaani mmoja akinyimwa basi anaamua kumega kinguvu.
Hii wadau imekaaje mwanaume unammnyima mama chakula chake na mwanamke unamnyima baba chakula chake kwa nini sasa inakuwa hivi?