Ubahili wa mpareee!

Ubahili wa mpareee!

Baba V

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
19,479
Reaction score
9,549
Siku moja bwana mmoja mpare kwa kabila alitereza na kutumbukia kisimani,akapiga kelele kuomba msaada,mkewe kaja na kamba mpya kumuokoa,mpare akamuuliza,
Mpare: Hiyo kamba umenunua sh.ngapi?
Mke: Sh. elfu moja!
Mpare: Karudishe, kanunue kwa Mangi ye anauza jero. Fanya fasta nazama huku!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom