Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,131
- 29,789
Huku kwetu wanajaza nafasi za wakuu wa mikoa na wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri.
Sina la kusema.
Sasa ndugu yangu ushasikia mahkama sisi tuna mahakama 😁View attachment 3632116
Sina la kusema.
Kupita kiasi. Huu muungano unawafaidhs sana wanasiasa kuliko kawaida. Ukimuuliza mtu wa Chalinze ama Katavi anafaidikaje na Muungano, hutapata jibu la maana, ila ukimuuliza Mpemba anafaidikaje na muungano, utapata sababu kama 100 hivi. Muungano is a scamSisi watanganyika wapuuzi sana.
Me najiskia kushoto mkuuNajisikia kulia 🥲
Sasa twende mbele.Me najiskia kushoto mkuu
1.Pemba inakuwa wilaya ya mkoa wa TangaIngekuwa uwezo wangu, iwe kwa vita au amani, Pemba na Unguja zingekuwa mikoa ya Tanganyika
Tawire 🤝1.Pemba inakuwa wilaya ya mkoa wa Tanga
2. Unguja inakuwa wilaya ya mkoa wa Dar es salaam au Pwani.
Problem solved
Sisi tuna mbwa na kitimoto lakini bado wanakuja tu!Sasa ndugu yangu ushasikia mahkama sisi tuna mahakama 😁
WaTanganyika kwa sasa wanazidi kuamka.Sisi watanganyika wapuuzi sana.
Jisikie kushotoNajisikia kulia 🥲
Mafia ni wilaya iko mbali sana na makao makuu ya mkoa wake lakini wako cool tu, tunasumbuliwa na vijiji viwili vinavyolingana na Tarafa ya Ikwiriri tuTawire 🤝
Muungano huo!View attachment 3632116
Huku kwetu wanajaza nafasi za wakuu wa mikoa na wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri.
Sina la kusema.