BabuFey
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 2,722
- 4,306
Yule jaji wa mchongo aliyefungia Chadema kwa zaidi ya mwaka ni Mzanzibari na alikuwa kamishna wa tume ya uchanguzi ya Jamuhuri ya watu wa Unguja na Pemba.View attachment 3632116
Huku kwetu wanajaza nafasi za wakuu wa mikoa na wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri.
Sina la kusema.