Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.
Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?
Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo:angry::angry::clap2:
Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.
Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?
Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo:angry::angry::clap2: