Ubaguzi wa kidini umebainika

Etairo

JF-Expert Member
Jan 17, 2012
244
44
Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.

Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?

Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo:angry::angry::clap2:
 
Wewe ulifanya huo mtihani?? Mbona waliofanya pamoja na walimu wao walikwishaelewa na wameshamalizana siku nyingi?? Vilaza wa nchii hii shida sana kudeal nao.
 
Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.

Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?

Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo:angry::angry::clap2:

Wewe una lako and you are a fundamentalist Moslem, I can guess! Sababu zilizotolewa siyo hizo unazozisema, it was not a mathematical calculator against a computer mathematical programme. dadisi zaidi utapata ukweli.
 
Sijui mkimaliza hili mtahamia wapi au ndo mtaanza kujilipua wenyewe??
 
naomba kujua kama mtu asipofaulu vizuri masomo yake ya combination , ila akapata "a" ya dini anaweza kwenda chuo kikukuu kwa mgongo wa dini?
 
Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.

Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?

Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo:angry::angry::clap2:


Hili suala ni critical - taasisi nyeti kama NECTA haitakiwi kufanya makosa hasa kama haya - Inakuwaje kama ni mitihani mingine mambo yalikuwa hivi.
 
Nadhani dhumuni lake ni kuwapa taarifa wana jamii!! couse siyo wote wanaojua kuhusiana na suala hili!

So stop crushing him, na pia nyinyi kama munajua hizo sababu ni vyema mukazifahamisha hapa kwenye jukwaa, na siyo kusemana wenyewe kwa wenyewe!! hii ni sehemu ya kupata taarifa na kueleweshana na cyo sehemu ya mabishano!!
 
Kinachoendelea ni chokochoko ilimradi ionekane imani fulani haitendewi haki.

Ni mara ngapi tunashuhudia madreva barabarani wakifanyiana makosa kwa bahati mbaya wakaomabana msamaha yakaisha.

Ni marangapi wazazi (baba na mama) hukoseana kwa bahati mbaya na wakaelewana.

Ni wizara ngapi hufanya makosa ya bahati mbaya, wakajieleza na yakaisha.

Ni wanafunzi wangapi hufeli mitihani yao ya F4 au F5 au university wakapewa nafasi ya kuirudia na wakafaulu yakaisha.

Ni mara ngapi hata katika mapishi nyumbani mama hukosea chunvi ikazidi akatoa maelezo na akaeleweka.

Ni mara ngapi........, Nimarangapi..........ni mara ngapi.......NI MARA NYINGI SANA.

Hata wewe ulietoa maada hii hujawi kosea nakama ndio ni mara ngapi......... Na wamekusahe yakaisha!!!!!


Tuwe wanyenyekevu na wenye kuelewa. kuendeleza chokochoko kwa kupotosha umma ni matatizo ya kifikra, watu wakuelewe wewe unaipenda sana dini? au unawapenda sana waliopatwa na matatizo au............Toa mawazo mbadala ya kuboresha mfumo na sio kuchochea matatizo zaidi na zaidi.

Ningetaraji utumie uelewa wako kulete upatanisho katika jamii na sio kuleta hoja za kusambalatisha watanzania sometime tuwe wazalendo.
 
hukumsikia waziri wa elimu Mr Kawambwa alifafanua jana, mbona watu wegine vichwa vigumu kuelewa, sio kosa lote
likitokea mnaagalia kwaudini.

DINI LOLOTE HALITAOKOA MTU, AMKENI. SIOKUFATA MKUMBO TU.
 
Ndiyo maana ninawashangaa waislamu kwa nini wanamshupalia Ndalichako peke yake na wanamwacha Kawambwa, huo nao ni ubaguzi wa kidini
 
Sijaelewa tatizo ni ubaguzi au ni usahihishaji mbaya au ni kujumlisha vibaya.? Kama ni ubaguzi kwani nani anasahihisha mtihani wa dini? Kama usahihishaji mbaya basi tatizo ni la wote waliofanya mtihani walalamike si waislamu tu na kamaujumlishaji mbaya wa maksi basi warudie kujumlisha mitihani yote na si ya waislamu tu.Inaonesha viombo vitumiwavyo vimepitwa na wakati,basi kwa vifaa vya kisasa warudie mitihani yote kuhakiki.
 
Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.

Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?

Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo:angry::angry::clap2:

UnastailiBUN KWA KUCHOCHEA UDINI, WAHUSIKA WAMEPEWA TAARIFA NA KURIDHIKA LAKINI WACHOCHEZI KAMA WEWE NDO MNAONA NI UPENYO WA KUINGIZA ITIKADI ZA UDINI, WAISLAM WA UKWELI HAWAKO HIVYO. TENA ISHIA HAPA USILETE UDINI KABISAAA NCHI HII HAINA DINI WALA KABILA. USITUCHAFULIE NCHI YETU
 
Nae siaondoke hapo anangangania nini sasa watu hawakutaki ondoka.Madaraka haya yataua mtu
 
Kwa upande wangu nafikiri Dr Ndalichako angeondoka tu pale NECTA akafanye kazi zingine..na apewe Moslem kama mnavyodai ili kuondoa fedheha(Waziri Muslim and Pamoja na katibu wa NECTA) tuone kama hamjaanza kutafuta sababu nyingine ya kufanya vurugu. Maana Watanzania wanawazia mambo ya ajabu sana. Just imagine kufeli kwa Waislamu kunawezaje kumfaidisha Dr Ndalichako...yaani bado sijapata jibu la sahihi tena wengine wasomi wanakuwa na mawazo finyi namna hii..
 
Nafikri sio vema kulaumu dini yoyote, hili ni swala la taasisi yenyewe na ambayo kimantiki ni kosa kubwa cna kwa NECTA kukosea matokeo ya mtihaniwa. Na hatutakiwi hata kidogo kushabikia makosa yanayapofanywa na Taasisi muhimu kama hii, jambo la msingi ni NECTA kufanya marekebisho yote sahihi na kuangali kwa kina kama kulikuwa na uzembe wowote basi wahusika wawajibike kwa maslahi na imani ya Taasisi.
 
Back
Top Bottom