Ubaguzi wa kidini umebainika

1. Ngiii.. Ngrii 'hallow!! Hallow "

2. " Naam, naam Sh.. vipi "

1. "Maandamano tunaanza sasa wewe uko wapi Sh.. "

2. "ee.. eer.. samahani .. "

1. "Samahani kitu gani Sh..watu ndivyo tunataka kuanza maandamano kuelekea kidongo chekundu weye unaleta uswahiba gani tena, na weye ndiye kinara wa shughuli hii kwenye mtaa wetu Sh.."

2. "Sawa Sh...., ila unajua ,mimi nina pesa ya kulipia fuso hapa kuwasomba watu wa mtaa kwenda jangwani kwenye mkutano wa ccm, mafulana na mikanga shapewa Sh.., .."

1. " Achana na mambo ya Chama Sh.. weye njoo tupiganie haki za watoto wetu weye'

2. " Ndio Sh...ila pesa nayo tam.. kwa leo mniswamehe labda siku nyingine.. kwaheri"

Salma2015; " sasa kwanini mnawachochea watu kisha nyie wenyewe mnakuwa mstari wa nyuma kabisa"

2. " Kwani mabomu ya Polisi weye huyafaham"

Salma2015; "Sasa kama mnaogopa mabomu kwanini kuchochea ghasia "

2. "Unajua Tuseme nini Kuna watu serikalini ambao wanazua na kuongoza vuguvugu hizi za machafuko, unajua hii serikali ni kama ina nuksani flan, huko huko wanatuambia tuchochee hili, na hao hao wanatupiga tena mabomu sisi hata hatujui wana maana gani. Machafuko ya Zanzibar, chokochoko zilianzia humo humo serikalini, sisi tunakuwa watu wa kuletewa tu na sisi tunapandwa na jazba. kwani sisi tungejuaje siri kwamba zanzibar kuna vitalu vya mafuta, unajua toka 2002 ilishagundulika kwamba vitalu vipo na wawekezaji wameshajitokeza, ila hatukujua lolote hadi miaka hii miwili ndipo siri zinavuja toka huko huko serikalini. sasa kama hili la NECTA, hata kama huyo Ndalichako ataondolewa kwani yeye ndiye anayesahihisha mitihani?, kwani yeye ndiye anayetunga miongozo na mitaala ya elimu, labda tungesema waziri aondolewe.. aaaah ! chuki tu za watu na chokochoko.. Inshallah! mwenyezi Mungu atamnusuru mwanamke wa watu huyu.. "
 
waslam ni watu wanaoishi kwa hisia tuu. kila kitu wanaona wao wanaonewa. hawana tofauti wa walemavu. kosa linaweza kutokea lakini, sii lazima kwa hila kwa sababu yupo mkristo.wakriso nao wanandamane kupinga hila za waislamu dhidi ya wakristo. Sii vema kumshutumu Dr. Ndalichako kwa msingi ya udini. Nchi haina dini. Hiyo mitihani ya dini mnapeleka necta kufanya nini. sii mmalizene huko mpeane A za kiarabu, kama chuo cheni cha morogoro
 
kama wanataka Dr. ndalichako ajiuzu kwa sababu ni mkristo, ili ampishe muislamu, then JK na Bilal nao wajiuzulu. wakristo nao waandamana, wakishinikiza waislam waache ubaguzi wa kidini dhidi ya watanzania
 
naomba kujua kama mtu asipofaulu vizuri masomo yake ya combination , ila akapata "a" ya dini anaweza kwenda chuo kikukuu kwa mgongo wa dini?

umefungwa na mifumo ya TCU????tembelea mitandao ya vyuo mbalimbali hapa duniani,,,,utapata majibu
 
waslam ni watu wanaoishi kwa hisia tuu. kila kitu wanaona wao wanaonewa. hawana tofauti wa walemavu. kosa linaweza kutokea lakini, sii lazima kwa hila kwa sababu yupo mkristo.wakriso nao wanandamane kupinga hila za waislamu dhidi ya wakristo. Sii vema kumshutumu Dr. Ndalichako kwa msingi ya udini. Nchi haina dini. Hiyo mitihani ya dini mnapeleka necta kufanya nini. sii mmalizene huko mpeane A za kiarabu, kama chuo cheni cha morogoro

NECTA huwa inafanyika mitihan ya dini moja?????
 
Sijui mkimaliza hili mtahamia wapi au ndo mtaanza kujilipua wenyewe??


Kwenye ukweli ni lazima pasemeke ukweli.. ni kweli wamekosea na ni lazima wawajibishwe.. kwa mtu mwenye fikra zake nzuri hawezi akaandika kama ulichikiandika wewe......, ulitegemea nn kama wangefanyiwa watu wa dini nyingine...? hv kama maksi za bible knowledge zingekosewa wakristo wasingelalamika.....?
 
Tuache ushabiki wa kidini,kusema na ukweli kwa kosa kama hili kila anayehusika anapaswa kuwajibishwa.Kibaya zaidi kauli ya kuomba radhi na kufanya marekebisho imefuatia baada ya malalamiko so kama yasingetokea malalamiko mambo yangeisha hivi hivi.Kwa kosa hili mtu muungwana anakaa pembeni tu hata kama ni bahati mbaya!
 
Nimeyaona hayo matokeo pamoja na kufanyiwa marekebisho yako hivi:
F
F
F
F
F
F
S
F

F
F
F
F
E
E
F
F
F
C
C
C
E
F
F
F
F
B
F
E
B
F
F
F
F
F
A
F
F
F
F
F
Sasa huko madrasa sijui huwa wanajifunza nini.
 
Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.

Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?

Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo:angry::angry::clap2:

Kufeli mnafeli wenyewe alafu mnasingizia baraza la mtiani




Baraka Boki (MEng, MBA from Duke university)
 
umefungwa na mifumo ya tcu????tembelea mitandao ya vyuo mbalimbali hapa duniani,,,,utapata majibu

kwa hiyo huko duniani wanasoma kozi gani za manufaa kwa taifa lisilokuwa na dini, au huko dunian wanasomea ualimu wa madrasa na sunday school.
 
naomba kujua kama mtu asipofaulu vizuri masomo yake ya combination , ila akapata "a" ya dini anaweza kwenda chuo kikukuu kwa mgongo wa dini?
Pale kwenye chuo cha kiislamu morogoro nadhani everything is possible...pale kwenye majengo ya kuazima
 
Wewe una lako and you are a fundamentalist Moslem, I can guess! Sababu zilizotolewa siyo hizo unazozisema, it was not a mathematical calculator against a computer mathematical programme. dadisi zaidi utapata ukweli.

kapewa stori za kahawa
 
Wewe ulifanya huo mtihani?? Mbona waliofanya pamoja na walimu wao walikwishaelewa na wameshamalizana siku nyingi?? Vilaza wa nchii hii shida sana kudeal nao.

Unajaribu kuongea nini..? Hueleweki... kwani hakukuwa na makosa ambayo necta wamekiri?
 
Naona sasa tunalazimishwa kuingia kwenye vita vya udini . Serikali ifutilie mbali hii mitihani ya dini.
 
Etairo said:
Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye
kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo:angry::angry::clap2:
Watakusikiliza?
Sijui mkimaliza hili mtahamia wapi ....??
Wizara ya ardhi
 
Unajaribu kuongea nini..? Hueleweki... kwani hakukuwa na makosa ambayo necta wamekiri?
Ukilaza wako ndio unaokusumbua. Vua blanketi la udini lililokufunika uweze kujudge mambo objectively.
 
Ukilaza wako ndio unaokusumbua. Vua blanketi la udini lililokufunika uweze kujudge mambo objectively.

hahahaha.. eti mi kilaza...What a cocky twat. btw mi nawewe na mdini .. jiangalie kwenye kioo ndio uongee hayo maneno..
 
Back
Top Bottom