Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
1. Ngiii.. Ngrii 'hallow!! Hallow "
2. " Naam, naam Sh.. vipi "
1. "Maandamano tunaanza sasa wewe uko wapi Sh.. "
2. "ee.. eer.. samahani .. "
1. "Samahani kitu gani Sh..watu ndivyo tunataka kuanza maandamano kuelekea kidongo chekundu weye unaleta uswahiba gani tena, na weye ndiye kinara wa shughuli hii kwenye mtaa wetu Sh.."
2. "Sawa Sh...., ila unajua ,mimi nina pesa ya kulipia fuso hapa kuwasomba watu wa mtaa kwenda jangwani kwenye mkutano wa ccm, mafulana na mikanga shapewa Sh.., .."
1. " Achana na mambo ya Chama Sh.. weye njoo tupiganie haki za watoto wetu weye'
2. " Ndio Sh...ila pesa nayo tam.. kwa leo mniswamehe labda siku nyingine.. kwaheri"
Salma2015; " sasa kwanini mnawachochea watu kisha nyie wenyewe mnakuwa mstari wa nyuma kabisa"
2. " Kwani mabomu ya Polisi weye huyafaham"
Salma2015; "Sasa kama mnaogopa mabomu kwanini kuchochea ghasia "
2. "Unajua Tuseme nini Kuna watu serikalini ambao wanazua na kuongoza vuguvugu hizi za machafuko, unajua hii serikali ni kama ina nuksani flan, huko huko wanatuambia tuchochee hili, na hao hao wanatupiga tena mabomu sisi hata hatujui wana maana gani. Machafuko ya Zanzibar, chokochoko zilianzia humo humo serikalini, sisi tunakuwa watu wa kuletewa tu na sisi tunapandwa na jazba. kwani sisi tungejuaje siri kwamba zanzibar kuna vitalu vya mafuta, unajua toka 2002 ilishagundulika kwamba vitalu vipo na wawekezaji wameshajitokeza, ila hatukujua lolote hadi miaka hii miwili ndipo siri zinavuja toka huko huko serikalini. sasa kama hili la NECTA, hata kama huyo Ndalichako ataondolewa kwani yeye ndiye anayesahihisha mitihani?, kwani yeye ndiye anayetunga miongozo na mitaala ya elimu, labda tungesema waziri aondolewe.. aaaah ! chuki tu za watu na chokochoko.. Inshallah! mwenyezi Mungu atamnusuru mwanamke wa watu huyu.. "
2. " Naam, naam Sh.. vipi "
1. "Maandamano tunaanza sasa wewe uko wapi Sh.. "
2. "ee.. eer.. samahani .. "
1. "Samahani kitu gani Sh..watu ndivyo tunataka kuanza maandamano kuelekea kidongo chekundu weye unaleta uswahiba gani tena, na weye ndiye kinara wa shughuli hii kwenye mtaa wetu Sh.."
2. "Sawa Sh...., ila unajua ,mimi nina pesa ya kulipia fuso hapa kuwasomba watu wa mtaa kwenda jangwani kwenye mkutano wa ccm, mafulana na mikanga shapewa Sh.., .."
1. " Achana na mambo ya Chama Sh.. weye njoo tupiganie haki za watoto wetu weye'
2. " Ndio Sh...ila pesa nayo tam.. kwa leo mniswamehe labda siku nyingine.. kwaheri"
Salma2015; " sasa kwanini mnawachochea watu kisha nyie wenyewe mnakuwa mstari wa nyuma kabisa"
2. " Kwani mabomu ya Polisi weye huyafaham"
Salma2015; "Sasa kama mnaogopa mabomu kwanini kuchochea ghasia "
2. "Unajua Tuseme nini Kuna watu serikalini ambao wanazua na kuongoza vuguvugu hizi za machafuko, unajua hii serikali ni kama ina nuksani flan, huko huko wanatuambia tuchochee hili, na hao hao wanatupiga tena mabomu sisi hata hatujui wana maana gani. Machafuko ya Zanzibar, chokochoko zilianzia humo humo serikalini, sisi tunakuwa watu wa kuletewa tu na sisi tunapandwa na jazba. kwani sisi tungejuaje siri kwamba zanzibar kuna vitalu vya mafuta, unajua toka 2002 ilishagundulika kwamba vitalu vipo na wawekezaji wameshajitokeza, ila hatukujua lolote hadi miaka hii miwili ndipo siri zinavuja toka huko huko serikalini. sasa kama hili la NECTA, hata kama huyo Ndalichako ataondolewa kwani yeye ndiye anayesahihisha mitihani?, kwani yeye ndiye anayetunga miongozo na mitaala ya elimu, labda tungesema waziri aondolewe.. aaaah ! chuki tu za watu na chokochoko.. Inshallah! mwenyezi Mungu atamnusuru mwanamke wa watu huyu.. "