huko marekani watu wanataka wasikilizwe, lakini hakuna pahala walipodai kwanini hawajapewa uwaziri!
ingelikuwa watu wanataka kuripua makanisa huko zanzibar, wangelianza na yale makanisa makuu yaliyopo.
kuna habari kuwa kanisa la minara miwili (catholic) zanzibar, wakiristo waliolifungua (wazungu) walipewa mkataba wa land wa miaka 99, miaka hiyo imeisha na hakuna hata sehemu moja serikali ya zanzibar iliposema kuwa italipokonya kanisa hili na kurudisha ardhi hiyo kwa watu wake. (ambao wanao waraka wa ardhi yao)
kwa hiyo kabla ya kukaa watu wakasema serikali ya zanzibar inaupendeleo kwa waislam, watafute facts kwanza........na wasikurupuke tu
Watz woote,sifurahishwi na hali hii hata kidogo,natoa wito kwenu wakristo woote,munaomwogopa MUNGU na mlio tayari kumtetea MUNGU wenu,hali hii ikiendelea na ikitokea hakua representatives wa wakristo ktk serikali ijayo zenj,nasi tuanze kuwabagua waislamu woote huku bara,ktk nyanja zooote,na hakuna kumpigia kura mgombea yeyote muislamu.Kwa ufupi tutampa kura zetu mgombea yeyote yule mkristo tuu,hata urais tutampa mkristo tuuuuu,hadi kileweke,Mtikila hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Kuhani Mkuu na wenzako mnatia aibu
Fungeni midomo yenu kwanza kwa kurishabikia ri element la kibaguzi.
Wangelikuwa waislamu wachache wako zenj hawapewi nafasi wangeandama hadi UN(mfano mzuri ni wapemba wamechoshwa na kutopewa nafasi),wakristo wakihoji,oooohhh wanaleta ubaguzi.
Ninyi ni wabaguzi tena wa kutupwa,nawaambieni wakristo wooote hapa JF wanawacheki mnavyojikanyaga kuukwepa ukweli.
Mungu atujahalie uzima,Chama Cha Kutetea Maslahi ya Wakristo kitasimamisha mgombea wake wa uraisi na wabunge then mtauona moto.Na ahakika tutashinda,hakutakuwa na mafisadi huko wala matatizo tena,waislamu itakuwa zamu yenu kuongozwa hadi mwisho wa dunia.
Acheni ubaguzi wa kishenzi la sivyo nyamazeni kimya.
Kutokana na maandishi yako nadhani wewe ndio Mbaguzi Mkubwa na mbaye hufai kabisa katika jamii ya Kitanzania. Maneno yako ni sumu ya hali ya juu na sidhani watu kama wewe wanafaa kuchangia chochote kwenye jamii kwani ulichoandika ni pumba tupu zilizochanganywa na hisia za kibaguzi kama za Ku Klux Klan, what a waste.
Huyu mtu hafai hata kuwa kiranja wa chekechea.Ceeque
Nasikitika kwa kutojua mukombosi ni mtu gani.
Usitie hofu,ni waziri wako ajaye.
Atakubagueni vilivyo.
Hahahahahhaahahhaahahahahahh
Huyu mtu hafai hata kuwa kiranja wa chekechea.
Sio Wakristo wote wana religious bigotry kama unayo ionyesha hapo. Na nani amekwambia kwamba huko Bara kuna clear Christian majority, (or Islamic, for that matter)?
And you better be faking that foreign twang, because if you really are an alien then I question your motives. Watu wanajaribu kujenga madaraja na kuziba nyufa zinazo weza kuligawa Taifa, wewe una introduce uninformed demagoguery hapa.
Big bigot, shut your face!
Usimbeze ana HAKI ya kusema na kutoa maoni ila tu havunji sheria...mwache anene kwani katiba inamruhusu atoe maoni yake..lakini na wewe unapaswa kujibu kwa hoja na si kumbeza.
kwanza asilimia ya wakiristo zanzibar ni ngapi? haifiki hata 5! na naming a few kwa kumbukumbu zangu za siasa za tanzania nawakumbuka wakristo hawa waliowahi kushika nyazifa za juu visiwani.
Isack Sepetu
bregedia jenerali Mwakanjuki
isitoshe, kusikia jina mtu anaitwa Mrisho, au Amani, kusikutishe ukafikiria hao watu wanahusiana vyovyote na uislam, pengine wamekuwa waislam kimazingira tu, lakini hawafati wala hawanufaiki na dini hiyo au nyengine
Kuhani Mkuu na wenzako mnatia aibu
Fungeni midomo yenu kwanza kwa kurishabikia ri element la kibaguzi.
Wangelikuwa waislamu wachache wako zenj hawapewi nafasi wangeandama hadi UN(mfano mzuri ni wapemba wamechoshwa na kutopewa nafasi),wakristo wakihoji,oooohhh wanaleta ubaguzi.
Ninyi ni wabaguzi tena wa kutupwa,nawaambieni wakristo wooote hapa JF wanawacheki mnavyojikanyaga kuukwepa ukweli.
Mungu atujahalie uzima,Chama Cha Kutetea Maslahi ya Wakristo kitasimamisha mgombea wake wa uraisi na wabunge then mtauona moto.Na ahakika tutashinda,hakutakuwa na mafisadi huko wala matatizo tena,waislamu itakuwa zamu yenu kuongozwa hadi mwisho wa dunia.
Acheni ubaguzi wa kishenzi la sivyo nyamazeni kimya.
Wangelikuwa waislamu wachache wako zenj hawapewi nafasi wangeandama hadi UN
Kitu alichokosea Mheshimiwa Mukombosi ni gia aliyotumia kuingiza hoja yake! Aliingia katika mtego kwa kufanya kile anachowatuhumu wenzake kumfanyia. Ninavyoelewa ni kuwa kweli jumuia ya kikristu Zanziba wanajisikia kuwa second class citizens katika nchi ambayo in everything but name inajitambua kuwa ya kiislamu. Kwa vile wao kama raia wa nchi hiyo wana haki ya kusikilizwa na wale walio wengi. Uchache wao ndiyo unaleta uzito zaidi kwenye suala hili. Nchini Marekani kupitia gerrymandering, (kabla haijawa abused;tazama-http://en.wikipedia.org/wiki/Gerrymandering) mipaka ya majimbo ilikuwa inarekebishwa ili kuhakikisha kuwa wale ambao ni minorities wanapata uwakili katika bunge la jimbo. Badala ya kuteua token figures inabidi serikali ifanye jitihada kuwa hao walio wachache wanapata nafasi ya kupata watakaowakilisha matakwa yao. Na hii si kwa wakristu peke yao bali wengine kama wangazija, wahindi n.k. Kwa bahati mbaya hatuna hulka ya kumthamini yule tunayemuona ni mnyonge katika jamii yetu. Waunguja hawaoni sababu ya kukaa meza moja na wapemba. Na sisi wakristu wa bara kwa muda mrefu tulifumbia macho malalamiko ya wenzetu waislamu. Tu wepesi wakutoa majibu ya mkato badala ya kuangalia kwa undani namna gani tunaweza kurekebisha hali. Ndio maana pamoja na kuwa napinga kwa nguvu zangu zote maneno aliyoyatumia Mukombosi maana yanachangia katika kuongeza chuki naelewa anakotokea. Ni kama vile wazungu wamarekani walivyostushwa na kauli za Rev. Wright na kumuona ni mbaguzi wakati weusi walielewa machungu yake yanatokea wapi!
Fundi,
Hili swala linazidishwa utata na elements nyingi kama vile
1.Zanzibar si nchi as such (kwa maana ya nchi yenye raia na kutoa passport zake) bali ni a state within a state. Kwa hiyo swali linakuja hawa watu wanaobaguliwa ni Wazanzibari Wakristo,watu wa bara wanaokaa Zanzibar au wakristo wote tu?
2.Pili tunaongelea kazi gani? Kazi katika hoteli za kitalii , kazi katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au kazi zote tu? Kama ni kazi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar naomba nielimishwe Watu wa Bara wanaweza kufanya (nakumbuka Brigedia Adam Mwakanjuki alikuwepo SMZ kama sijakosea,hapa napo walikuwa wabaguzi? Kwani Mwakanjuki ni Mkristo na mtu wa bara)
Kama hatujapata statistics za Zanzibar kuna wakristo wangapi, wangapi wako eligible na wangapi wamefanyiwa mizengwe (au kitu concrete cha kutupa muelekeo huo) tutakuwa tunacheza Makida
Mbona mnamaka kiasi hicho? Mukombosi amewastua kuwa kuna malalamiko katika jamii ya kikristo Zanziba. Anawastua kuwa kuna wengi Zanziba zaidi ya wapemba na waunguja (wakristo, wangazija n.k) na wote wana haki ya kutambuliwa. Ni kama vile sisi wa bara tunavyodhani kuwa Tanzania ni ya watu weusi tukisahau wahindi, wazungu na wengineo.
Bigots ni sisi tunaokataa kuwaona walio wachache katika jamii yetu! Ni haya ambayo yanawafanya waunguja na wapemba wasiweze kukaa na kumaliza tofauti baina yao. Tusiwe kama mbuni na kujifanya hatuoni matatizo yalio mbele yetu.
..fundi,
..iyo issue kaileta kiubaguzi!