Ubaguzi kwenye mikopo ya Elimu ya juu

Ubaguzi kwenye mikopo ya Elimu ya juu

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,954
Reaction score
7,006
Ndugu watanzania,

Wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliahidi kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wa elimu ya juu ili tusome. Lakini cha kushanganza sisi wanafunzi wa masomo ya Arti kama Community Development tunanyimwa mikopo ingawa hata wazazi wetu waliotusomesha secondari na diploma wameishafariki dunia.

Je ahadi ya ccm ilikuwa inamaana gani? Je maendeleo yanaletwa na wanascience tu. Hii si haki kwani sote tunamchango katika nchi yetu.

Ombi langu ni kwa serikali kubatilisha mfumo wa ubaguzi katika kutoa mikopo ili waote tupate elimu ya kutusiadia maisha yetu.

Asanteni
 
bado mbona.. yaaani hata hao wa sayansi wenyewe wataanza kupewa less... nendeni lumumba..
 
mi nawaza serikali iwapatie wanafunzi wote pesa ya kujikimu ila kwa ada wote wajilipie

maan pesa ya kujikimu ndo changamoto sana kuliko ada.
 
Ukawa waliwaambia mkiwachagua mtapata elimu bure mpaka chuo kikuu na mkopo juu,mkasema HAIWEZEKANI🙁
Ccm sasa hivi wanawaambia mkopo watapata baadhi tu,mnasema HAIWEZEKANI🙁
Sasa sijui watanzania mnataka nini🙁
ccm mbele kwa mbele🙁
 
Back
Top Bottom