Ubachela raha sana

Ubachela raha sana

Wakuu najua mko poa,

Ubachela raha sana,ila usiniinge kabisa.


Kwanza hakuna kubanwa kama ambao wako kwenye ndoa

Unafanya mambo yako kwa kujiamini sana

Upangiwi cha kufanya

Unarudi kwako mda unaotaka

Unaishi kwa furaha sana

Unajipenda sana

Mabachela mkuje hapa tupeana stori mbili tatu
Hata babu na baba yako walikuwa ma-bachelor siku moja... Utakwisha tu huo, one day.
 
Stori mbili tatu ni kwamba.

Nimenunua dagaa mchele ili nikute ugali kwa shemeji nile.

Nimefika nimekuta kapika wali na dagaa. Sasa mimi hawa dagaa mchele nawapeleka wapi?

Akufukuzae hakwambii toka. Nijipange
 
Stori mbili tatu ni kwamba.

Nimenunua dagaa mchele ili nikute ugali kwa shemeji nile.

Nimefika nimekuta kapika wali na dagaa. Sasa mimi hawa dagaa mchele nawapeleka wapi?

Akufukuzae hakwambii toka. Nijipange
😀😀kwani ulimwambia unabeba hao dagaa? Bora kama hakukuwekea ile sijui pilipili maana haifiki kesho kwenye huo mfuko wako mweusi
 
Back
Top Bottom